Decoder za abudhabi nitafute

Free country, but your rights are within the law.

Law zipi? Hebu tuwekee tangazo lao mkuu tuone wanasemaje. AD na Aljazeera hawafanyi biashara Tanzania, lakini sidhani kama kuna sheria inanizuiya kuaccess channel zao nikiwa Tanzania kwa njia ambazo nazijua mimi. DSTV wakomae na ving'amuzi vya mchina vinavyodecode channels zao, hayo mengine hayawahusu...nione -------- anakuja kunigongea eti aangalie channels nazotizama nazitoa wapi kama sijafungulia mbwa!
 
Nakubaliana na wewe, kwanza kuanza kudeal na mtu mmoja mmoja ni kazi sana kuliko kudeal na Aljazeera as a single company.

Aljazeera hawana ofisi Tanzania, na sioni kama kuna njia ya kuzuiya mawimbi kutoka kwenye satelite yasije Tanzania!
 
Aljazeera hawana ofisi Tanzania, na sioni kama kuna njia ya kuzuiya mawimbi kutoka kwenye satelite yasije Tanzania!

Mkuu nadhani ni rahisi kwa wao kuongea na watu wa satelite wakapunguza signal ili zisifike tz,muhimu ni kuomba mungu hilo lisitokee,si hata startv ilitokea mpaka wakasema mwanzo waliingia mkataba wa signal kwenye madishi ya foot8 mpaka wakabadili symbol rate ili waonekane vizuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom