nitafute upate mambo mazuri,,,,,,,,,,0717/0787/0756-9666540 na bei ni 750000 full instalation
kweli we mgonjwa wakati kuna jamaa anaunganisha kwa 280,000! Punguza tamaa ndugu.
Chuck J naomba utujuze zaidi kuhusu hizo dekoda!
Kweli we mgonjwa wakati kuna jamaa anaunganisha kwa 280,000! Punguza tamaa ndugu.
tupatie contacts zake basi huyo jamaa
Kweli we mgonjwa wakati kuna jamaa anaunganisha kwa 280,000! Punguza tamaa ndugu.
Hicho cha Sh. 280, 000 kitakua sio chenyewe.Kweli we mgonjwa wakati kuna jamaa anaunganisha kwa 280,000! Punguza tamaa ndugu.
mmmh!! haya!!Mi ninayo abudhabi sports nilifungiwa na Lampard aljazeera kwa 750 mwaka jana december,,,, huyo lampard anapatikana mtaa wa msimbazi ni maarafu sana kwenye maduka ya vifaa vya madish kariakoo unaweza ukamtafuta..
Hiyo bei inajumlisha humax Hd decoder pvr moja ambayo unaangalia hd match zote duniani,, plus dish 1, gharama za ufundi humo humo na one year package imeshalipiwa full,, kusema kweli aljazeera sports ni the same as dstv as nao wanachukua match direct from skysports hd channels, na standard channels, espn, cfi etc, ina television za sports almost 11, za movie 20, za katuni, music etc...
Baada ya hapo kila mwaka nitakuwa nalipia usd 100 through bank transfers or online...
Angalizo kuna jamaa wanafanga aljazeera kwa kuchakachua hiyo ulipii tena,, dstv, startimes, zuku etc.. Kuna style zinafungwa dish juu plus vifaa vya uchakachuzi vina unlock tv zote.. Hiyo nayo ukitaka unafungiwa,, dstv chafu lak 6,, aljazeera chafu lak 9,, startimes chafu lak 2, na zuku chafu lak 2 ( but hizi afanyi lampard aljazeera zinafanywa kitaaani na watoto wa kitaa)
hii ni kweli, mi wakire-new tu navuta decoder yao.Abu dhabi naona km lesen yao ya kuonesha EPL inaisha 2014..cjui baada ya hapo itakuwaje?...vp wanaonesha La Liga na UEFA??
Mi ninayo abudhabi sports nilifungiwa na Lampard aljazeera kwa 750 mwaka jana december,,,, huyo lampard anapatikana mtaa wa msimbazi ni maarafu sana kwenye maduka ya vifaa vya madish kariakoo unaweza ukamtafuta..
Hiyo bei inajumlisha humax Hd decoder pvr moja ambayo unaangalia hd match zote duniani,, plus dish 1, gharama za ufundi humo humo na one year package imeshalipiwa full,, kusema kweli aljazeera sports ni the same as dstv as nao wanachukua match direct from skysports hd channels, na standard channels, espn, cfi etc, ina television za sports almost 11, za movie 20, za katuni, music etc...
Baada ya hapo kila mwaka nitakuwa nalipia usd 100 through bank transfers or online...
Angalizo kuna jamaa wanafanga aljazeera kwa kuchakachua hiyo ulipii tena,, dstv, startimes, zuku etc.. Kuna style zinafungwa dish juu plus vifaa vya uchakachuzi vina unlock tv zote.. Hiyo nayo ukitaka unafungiwa,, dstv chafu lak 6,, aljazeera chafu lak 9,, startimes chafu lak 2, na zuku chafu lak 2 ( but hizi afanyi lampard aljazeera zinafanywa kitaaani na watoto wa kitaa)