Abu dhabi naona km lesen yao ya kuonesha EPL inaisha 2014..cjui baada ya hapo itakuwaje?...vp wanaonesha La Liga na UEFA??
Mambo yote iko Aljazeera, hii abudhabi tumekula hasara, ila mimi nilinunua zile za kadi mbili kwahiyo naenda kulipia aljazeera. Abudhabi card naweka store.
Mambo yote iko Aljazeera, hii abudhabi tumekula hasara, ila mimi nilinunua zile za kadi mbili kwahiyo naenda kulipia aljazeera. Abudhabi card naweka store.
Kweli we mgonjwa wakati kuna jamaa anaunganisha kwa 280,000! Punguza tamaa ndugu.
Ameweka namba fake
DSTV+COSOTA wametangaza gazeti la jana kuwa wanaanza kufuatilia hii kitu. Nadhani imeanza kula kwao. Wanasema ni piracy (uharamia)
Hivyo ndivyo DSTV walivyotangaza pamoja na COSOTA. Wanasema jamaa hawana haki ya kuonyesha EPL bongo.Kuangalia ligi kupitia abudhab au aljazira ni uharamia.. ?
Hivyo ndivyo DSTV walivyotangaza pamoja na COSOTA. Wanasema jamaa hawana haki ya kuonyesha EPL bongo.
Nisaidie namba ya huyo mwenye kuunganisha kwa bei hiyo ndugu. Natanguliza shukrani.
Free country, but your rights are within the law.
Nakubaliana na wewe, kwanza kuanza kudeal na mtu mmoja mmoja ni kazi sana kuliko kudeal na Aljazeera as a single company.Wawazuie aljazera kutoa serivice zao tanzania au kutokuwauzia wageni kuliko kunikamata mimi..
Nitafute upate mambo mazuri,,,,,,,,,,0717/0787/0756-9666540 na bei ni 750000 full instalation
Mambo yote iko Aljazeera, hii abudhabi tumekula hasara, ila mimi nilinunua zile za kadi mbili kwahiyo naenda kulipia aljazeera. Abudhabi card naweka store.