Decoder yangu inakamata stations 2 tu, naombeni msaada pls

Decoder yangu inakamata stations 2 tu, naombeni msaada pls

BatteryLow

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2011
Posts
446
Reaction score
149
Leo ni siku ya nne inakamata TBC1 na TV1 tu, hakuna kitu kilichobadilishwa, ni LUKU iliisha tu na tulivyoongeza na kuwasha ndo ikawa ivo. Naombeni msaada kwa mwenye ujuzi niweze kuzirudisha nifaidi Eid jamani, au mnaonaje??
 
Leo ni siku ya nne inakamata TBC1 na TV1 tu, hakuna kitu kilichobadilishwa, ni LUKU iliisha tu na tulivyoongeza na kuwasha ndo ikawa ivo. Naombeni msaada kwa mwenye ujuzi niweze kuzirudisha nifaidi Eid jamani, au mnaonaje??

Ni aina gani ya receiver unatumia.?
 
fanya auto search, zima then washa. hakikisha signal strenth ziko juu. kama bado tatizo litaendelea bas ujue ni startimes na mitambo yao.
 
hahaa aisee bora ingeacha star tv

wasiliana nao plz
 
fanya auto search, zima then washa. hakikisha signal strenth ziko juu. kama bado tatizo litaendelea bas ujue ni startimes na mitambo yao.
Haikubali, signal strength inacheza 48 - 50 tu. Nimejaribu kubadilisha mkao wa antena labda kama itakubali lakini wapi.
 
Back
Top Bottom