Decoder hawk HD 3G 1080p

Decoder hawk HD 3G 1080p

Osaba

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2011
Posts
1,942
Reaction score
802
Nauza decoder hiyo hapo juu kwa sh 300,000 tu zimebaki chache if ur interest just pm me, kazi yake nadhani wengi mnaifahamu.
 
huo mzigo hapa jamvini wmeishaelezea faida na hasara zake! Nasikia ni kama kucheza kamali vile, kibaya zaidi hata software zake haifahamiki ni wapi ukatafute, wenye mali(makaburu) nasikia wanafahamu sana kuziziba pua!
 
Unachezea mchina wewe? Atakaechukua nitamwelekeza pa kupata software yake, kuhusu swala la loophole yake kuzibwa na jamaa wa South Africa ni swala gumu mno ndio maana zinatumia chip za simu ili kuscramble namba zinazobadilishwa kila dkk na multichoice, kwa kifupi ni ngumu.
 
Unachezea mchina wewe? Atakaechukua nitamwelekeza pa kupata software yake, kuhusu swala la loophole yake kuzibwa na jamaa wa South Africa ni swala gumu mno ndio maana zinatumia chip za simu ili kuscramble namba zinazobadilishwa kila dkk na multichoice, kwa kifupi ni ngumu.
..hiyo kitu haifiki hiyo bei though hazina uhakika kabisa.
 
..hiyo kitu haifiki hiyo bei though hazina uhakika kabisa.

Wewe kwa mawazo yako vinauzwa sh ngapi? Halafu hakuna mtu anaelazimishwa anunue, halafu unaongea kitu ucchokijua, na hii si mara ta kwanza kutumika Tanzania, vimetumika Nigeria tangia 2003 na hadi leo hii hawajavifunga waje wavifunge leo, wee unafkiri hawajui kama kuna vitu kama hivyo vinatumika?
 
Wewe kwa mawazo yako vinauzwa sh ngapi? Halafu hakuna mtu anaelazimishwa anunue, halafu unaongea kitu ucchokijua, na hii si mara ta kwanza kutumika Tanzania, vimetumika Nigeria tangia 2003 na hadi leo hii hawajavifunga waje wavifunge leo, wee unafkiri hawajui kama kuna vitu kama hivyo vinatumika?
wachina wa akili sana na wanatengeneza pesa ndio maana hata dongle ukitumia kwa muda furani inagoma kupiga mzigo,utabadilisha SW baada ya siku chache mambo yale yale wakati huo huo utasikia wametoa dongle mpya...angalia dongle kama strong 5000,hawk,avatar 2,G1,T1 nk zinavyozingua wakati huo huo wametoa dongle mpya kama G2...wao wanashindwa kuvifungua ni kweli lakini huwezi kutumia dongle moja miaka miwili au zaidi...hii kitu ni bahati nasibu kama kamali vile.
 
Unachezea mchina wewe? Atakaechukua nitamwelekeza pa kupata software yake, kuhusu swala la loophole yake kuzibwa na jamaa wa South Africa ni swala gumu mno ndio maana zinatumia chip za simu ili kuscramble namba zinazobadilishwa kila dkk na multichoice, kwa kifupi ni ngumu.

Mkuu naomba hyo software bac mie ntakuachia sh.kadhaa maana hawk ilishazma zaman..ntafute 0763443210
 
wachina wa akili sana na wanatengeneza pesa ndio maana hata dongle ukitumia kwa muda furani inagoma kupiga mzigo,utabadilisha SW baada ya siku chache mambo yale yale wakati huo huo utasikia wametoa dongle mpya...angalia dongle kama strong 5000,hawk,avatar 2,G1,T1 nk zinavyozingua wakati huo huo wametoa dongle mpya kama G2...wao wanashindwa kuvifungua ni kweli lakini huwezi kutumia dongle moja miaka miwili au zaidi...hii kitu ni bahati nasibu kama kamali vile.

Hata ukitumia mwaka mmoja its worth it, kama una mapesa wape DSTV 1.3M kwa mwaka uachane na HAWK ya laki3, DSTV sina ham nao kabisa, wangekuwa wanatoa option ya mtu kuchagua channel hata 15tu anazozipenda then wangetoza hata elf30 kwa mwezi ingeeleweka, siyo wizi wa sasa kukujaza mamia ya channel ambazo zingine hata hauna shida nazo na hauziangalii kamwe!
 
Nauza decoder hiyo hapo juu kwa sh 300,000 tu zimebaki chache if ur interest just pm me, kazi yake nadhani wengi mnaifahamu.

Shusha bei kidogo nichukue mbili za kugawa nyumba ndogo, fanya 180 hivi.
 
Unachezea mchina wewe? Atakaechukua nitamwelekeza pa kupata software yake, kuhusu swala la loophole yake kuzibwa na jamaa wa South Africa ni swala gumu mno ndio maana zinatumia chip za simu ili kuscramble namba zinazobadilishwa kila dkk na multichoice, kwa kifupi ni ngumu.

information asymmetry=upande m1 unaficha maelezo muhimu kwa faida yake binafsi.Kwa hiyo unataka wa2 wanunue kwanza halafu uwaambie pata potea?uwaambie ukweli ili wacjutie maamuzi yao baadaye.
 
Hata ukitumia mwaka mmoja its worth it, kama una mapesa wape DSTV 1.3M kwa mwaka uachane na HAWK ya laki3, DSTV sina ham nao kabisa, wangekuwa wanatoa option ya mtu kuchagua channel hata 15tu anazozipenda then wangetoza hata elf30 kwa mwezi ingeeleweka, siyo wizi wa sasa kukujaza mamia ya channel ambazo zingine hata hauna shida nazo na hauziangalii kamwe!
upo sahihi jamaa wanatunyonya saana ni vizuri tuwa hack tuwezavyo isssue ni bei ya jamaa ipo juu sana.....hata hiyo miezi mitatu kuangalia ni bahati nasibu,unaweza ukanununa leo kesho ikagoma,jamaa akisema kilo mbili hapo sawa,tutanunua lakini si kilo tatu.
 
Hata ukitumia mwaka mmoja its worth it, kama una mapesa wape DSTV 1.3M kwa mwaka uachane na HAWK ya laki3, DSTV sina ham nao kabisa, wangekuwa wanatoa option ya mtu kuchagua channel hata 15tu anazozipenda then wangetoza hata elf30 kwa mwezi ingeeleweka, siyo wizi wa sasa kukujaza mamia ya channel ambazo zingine hata hauna shida nazo na hauziangalii kamwe!

mwaka m1? Thubutu
 
upo sahihi jamaa wanatunyonya saana ni vizuri tuwa hack tuwezavyo isssue ni bei ya jamaa ipo juu sana.....hata hiyo miezi mitatu kuangalia ni bahati nasibu,unaweza ukanununa leo kesho ikagoma,jamaa akisema kilo mbili hapo sawa,tutanunua lakini si kilo tatu.

Kuitoa China mpaka Dar haizidi Laki, in fact ni elfu 80!!!! kwa hiyo anatakiwa auze laki na nusu!
 
Hebu huyu nilim PM. Mwishowe akataka tumchangie nauli ya kwenda kusikojulikana ili akavilete,na alishasema anavyo.
Re: Hawk 777

Paje 10:52 18th February 2013


By Capt Tamar:
100% risk free? Hakuna uwezekano wa kufungiwa? Sio mambo ya Gtv?

kama upo dar na upo tayari nitafute kutest hii kitu ya dstv. 0716999806. leo au kesho. bei ni laki2 na 30

?Reply? ?Report Post?
 
Huyu hapa!»»
mkuu nipo arusha nitapataje? Na je kuna side cost nyingine baada ya kununua na kulipia gprs bundle?

hakuna cost zaidi ya Gprs. mie nipo dar. fanya wewe mchakato wa kukufika
mimi naishi DAR. jumamosi naenda zenji kununua kama 6 pcs. anaetaka atanichangia nauli elfu 40. hivyo bei itakuwa ni laki 2 na 40. hapa DAR vinauzwa hadi laki 3 na nusu. i hope unajua....
kama uko serious navyo basi tengeneza mchakato kabla ya jumamosi.
 
Ila karibu wiki imepita havionyeshi nahisi DSTV wamevishitukia.
 
Ila karibu wiki imepita havionyeshi nahisi DSTV wamevishitukia.

Sio kama dstv wamestukia ila wanajua kama vinatumika kuvifunga haiwezekani kutokana na jinsi vilivyotengenezwa, ila unachopaswa ni kuupdate software yake tu
 
Sio kama dstv wamestukia ila wanajua kama vinatumika kuvifunga haiwezekani kutokana na jinsi vilivyotengenezwa, ila unachopaswa ni kuupdate software yake tu
Sasa hiyo software yake unaipata wapi? si ndio mambo ya kunnua kwa 40k, si afadhali niweke Compact DSTV?
 
Sasa hiyo software yake unaipata wapi? si ndio mambo ya kunnua kwa 40k, si afadhali niweke Compact DSTV?

Hivi ushawahi kufunga dstv kweli wewe au unasema tu,premium ndio package ya ukweli lakini ndio unatowa 128,000 kwa mwaka utatoa sh ngapi? Na sio muda wote utakuwa unaangalia tv
 
Back
Top Bottom