Decoder hawk HD 3G 1080p

Decoder hawk HD 3G 1080p

Sio kama dstv wamestukia ila wanajua kama vinatumika kuvifunga haiwezekani kutokana na jinsi vilivyotengenezwa, ila unachopaswa ni kuupdate software yake tu
Mkuu hiyo software nitaipata wapi? Mm nilijua kua itakua automatic update kwa kutumia gps sim card dogle
 
Captain mi nakusikiliza tu lakini kama kila mtu akikuchangia nauli unayoomba si zitazidi sana au hizo mashine (hwak decoders) ni nzito kiasi cha kila moja kugharimu kiasi hicho cha nauli?
 
Sio kama dstv wamestukia ila wanajua kama vinatumika kuvifunga haiwezekani kutokana na jinsi vilivyotengenezwa, ila unachopaswa ni kuupdate software yake tu

we unajua hiyo software inapatikana wapi? Hizo hawks zitawapa magonjwa ya moyo.
 
Sasa hiyo software yake unaipata wapi? si ndio mambo ya kunnua kwa 40k, si afadhali niweke Compact DSTV?
hapo ndio inatakiwa aliyekuuzia muwe mnawasiliana ili inapotoka SW mpya anakupa....lkn wachina hawa bwana wakibadilisha SW mara tatu nne hv wanaachana na hiyo kitu wanaibuka na kitu kipya kabisa.
 
information asymmetry=upande m1 unaficha maelezo muhimu kwa faida yake binafsi.Kwa hiyo unataka wa2 wanunue kwanza halafu uwaambie pata potea?uwaambie ukweli ili wacjutie maamuzi yao baadaye.

Sijaficha chochote mkuu ila ndio narudia tena hii kitu sijamlazimisha wala simlazimishi mtu kuinunua kuepukana na lawama ndio maana ninasema wanaojua matumizi yake ndio watakaonunua
 
Hivi ushawahi kufunga dstv kweli wewe au unasema tu,premium ndio package ya ukweli lakini ndio unatowa 128,000 kwa mwaka utatoa sh ngapi? Na sio muda wote utakuwa unaangalia tv

Mkuu mimi nimeweka compact plus na naburudika vilivyo,kwa mfano mm ni mpenzi sana wa mpira na
mechi ambazo zinaonekana kupitia super sport 3 nazipata kwy ss10;as long as bado wanatunyonya'
 
Mkuu mimi nimeweka compact plus na naburudika vilivyo,kwa mfano mm ni mpenzi sana wa mpira na
mechi ambazo zinaonekana kupitia super sport 3 nazipata kwy ss10;as long as bado wanatunyonya'

Haupati live match wewe unafikiri dstv ni wajinga kuweka live match kwenye package ya pesa nyingi?
 
Hawk 3G HD sawa hivi ipo down si uungwana kuuza kitu ambacho hakifanyi kazi inavyotakiwa
 
Hii kitu itakuwahewani tena ndani ya wiki kuanzia sasa. Seva yao inayo-share card ilikuwa na matatizo. Habari nilizonazo inabadlishwa na itakuwa hewani muda wowote
 
Hilo ndiyo jibu sahihi. Ni kawaida kwa dongle za Hawk kuwa hewani kwa muda fulani halafu kupotea na kurudi tena baadaye. Wakati mwingine inakubidi hata software. Kwa wale wanunuzi wapya walijue hilo. Ununuzi wa Dongle kwa sasa ni pata potea.
 
Nilinunua Hawk ikafanya kazi kwa siku tatu ikatema mzigo hadi leo. Laki tatu ikaenda na maji. Haikufanya chochote kufungua CanalSat Afrique na sasa DStv, Al Jazeera Sport zimepotea. Nimeiweka darini. Hali ikoje sasa? Inafanya kazi????
 
Badili uitumie kwa local channel unga Disq switch zikirudi utaendelea kubweda zikigoma unafaidi za kibongo huwa zinakubali.
 
Hii kitu itakuwahewani tena ndani ya wiki kuanzia sasa. Seva yao inayo-share card ilikuwa na matatizo. Habari nilizonazo inabadlishwa na itakuwa hewani muda wowote

Mkuu,vipi sever imeisharudi hewani? Naona sasa si wiki tena,bali miezi,huh!
 
[h=2]Decoder hawk HD 3G 1080p JE IMETOKA SOFTWARE AU SOFTWARE ILEILE ?[/h]
 
Back
Top Bottom