omben
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 821
- 476
Mkuu hiyo software nitaipata wapi? Mm nilijua kua itakua automatic update kwa kutumia gps sim card dogleSio kama dstv wamestukia ila wanajua kama vinatumika kuvifunga haiwezekani kutokana na jinsi vilivyotengenezwa, ila unachopaswa ni kuupdate software yake tu