The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 6,179
- 14,038
- Thread starter
- #41
Ungeifuta hii comment, haichekeshi zaidi inakudhalilisha
Watu wengine ni kama wamechanganyikiwa
Ungeifuta hii comment, haichekeshi zaidi inakudhalilisha
Memories ndio hua zinatutesa lakini chonde chonde usithubutu kumrudiaNi kweli, lkn haiondoi ukweli sometimes we miss them or we miss memories we shared together
Mbona Huwa hatuheshimu mawazo ya wengine? We unataka ni comment kile ambacho utakifurahia negative comments hapana? Unajua mana ya watu kutoa maoni Yao sasa kama wewe una taka tuongee vile upendavyo wewe mnge ambiana wawili tu ukileta kitu kwenye hadhara tegemewa negative commentsUngeifuta hii comment, haichekeshi zaidi inakudhalilisha
🤣🤣🤣🤣hizo ata wewe unaweza kuninunuliaUmemis kitimoto na brutal alizokuwa anakununulia?
Binadamu tumekuwa na ujasiri sana, unaweza Kuta kipindi yupo hai, ilikua humuheshim, kumsema vibaya pengine kumuumiza makisudi eti baada ya yeye kufa ndo unaanza kujifanya ULIKUA na mapenzi naye, watu kama wewe, nakufananisha na uwoya, kipindi marehemu ndikumana anaandika maandiko insta juu ya mapito masikini mpaka akaanza kuelezea kipindi anacheza soka la KILIPWA jinsi alivo kua ana MHUDUMIA demu lakini baada tu ya kufulia dharau zikaanza, demu hakujali akaaenda pale pale insta na kumjibu kunya, jamaa akashindwa move on matokeo yake alifariki, nadhani stress zilichangia, eti Leo demu akihojiwa kidogo tu anaanza kulia, mara aende kwenye kaburi la mume kulia stupid mbona ni unafikir wa kiwango cha lami,Ungeifuta hii comment, haichekeshi zaidi inakudhalilisha
The idea of her ndo huwa kinatusomba. Ila ukweli ni hisia za kumbukumbu za nyuma tu alivyokuwa akizungusha unoMemories ndio hua zinatutesa lakini chonde chonde usithubutu kumrudia
Mkuu umeongea ukweli Mchungu... Ila hatujui huyu aliye post mahusiano yao yalikuaje maybe Wali resolve na wakasahamehana ila ikawa ngumu kurudia a hatujui.. You can't judge so easilyBinadamu tumekuwa na ujasiri sana, unaweza Kuta kipindi yupo hai, ilikua humuheshim, kumsema vibaya pengine kumuumiza makisudi eti baada ya yeye kufa ndo unaanza kujifanya ULIKUA na mapenzi naye, watu kama wewe, nakufananisha na uwoya, kipindi marehemu ndikumana anaandika maandiko insta juu ya mapito masikini mpaka akaanza kuelezea kipindi anacheza soka la KILIPWA jinsi alivo kua ana MHUDUMIA demu lakini baada tu ya kufulia dharau zikaanza, demu hakujali akaaenda pale pale insta na kumjibu kunya, jamaa akashindwa move on matokeo yake alifariki, nadhani stress zilichangia, eti Leo demu akihojiwa kidogo tu anaanza kulia, mara aende kwenye kaburi la mume kulia stupid mbona ni unafikir wa kiwango cha lami,
Mpaka hapo kati yangu Mimi na wewe nani Alie ji dhalilisha? Unafikir mkubwa mnasubiri mtu afe ndo vinaanza ohooo nilikua NAMPENDA mara hivi, ilihali kipindi Yuko mzima ULIKUA unapelepka mbunye kuliwa na wana ye una mdharau kisa pesa au nguvu za kiume, mtu akifa ndo kutafuta kiki, nyamaza kabisa mapenzi ni vitendo mapenzi si maneno,
Sasa unaufahamu kwanini nime react hivi? Kaka ana force ninge comment anavo taka yeye, kuwa, pole najua mlikua mnapendana pole sana, sasa mi si mnafikiMkuu umeongea ukweli Mchungu... Ila hatujui huyu aliye post mahusiano yao yalikuaje maybe Wali resolve na wakasahamehana ila ikawa ngumu kurudia a hatujui.. You can't judge so easily
kwann kama moyo wang bado unampenda niendelee kuteseka tu?Memories ndio hua zinatutesa lakini chonde chonde usithubutu kumrudia
HakikaSasa unaufahamu kwanini nime react hivi? Kaka ana force ninge comment anavo taka yeye, kuwa, pole najua mlikua mnapendana pole sana, sasa mi si mnafiki