and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,105
Kijana Ukisikia hii kauli toka nduki. Mzinga ndo unafuata....kina Dada mmezidi asee. Fanyeni kazi, "supa wuman" Ni pamoja na kufanya kazi halali sio huu uharamia mnaofanya sasa. Full mizinga mnataka tukaibe?
