am fine baby gurll 😚Hah lol. Mikoba tena jamani?
BTW,, long time no see you! I hope you are doing great.
am fine baby gurll 😚Hah lol. Mikoba tena jamani?
BTW,, long time no see you! I hope you are doing great.
Toka juzi umekomalia nina PhD, hiyo PhD ulinipa wewe mayanza? Nimekuambia nina Diploma kutoka chuo cha uvuvi mbegani BagamoyoHuyu Countrywide ana PhD na ana ndoto za kugombea Uraisi wa URT hapo baadae, ameshindwa hata kuelewa huu uzi una maana gani ? Je huko State House ataelewa nini ? Si atakuwa kama Wakina Chief Mangungo wa Msovelo waliokuwa wanabadilishana Dhahabu/Almasi na Shanga ? 🤣 🤣 🤣 🤣
Mayanza unaniogopa bure tu, sijawahi kuwa na hizo ndoto na sina huo uwezo. Wewe jibu haya ya kwenye post yakoHuyu tunamjua vizuri sana, anataka uraisi kama wa Marehemu Magufuli 😂😂😂
Huyu sio ananikubali, Ila ananiogopa. Ananipa hadhi nisiyokua nayo, mara nataka kugombea uraisi, mara nna PhD, hii yote ni hofu😂Kumbe unamkubali bro mpk unamuanzishia kampeni 🤣🤣🤣
Igweeeeeeeeeeeee.!!!
A city stand up 😂😂😂😂
Nina upeo mkubwa sanaSimchukii Yeye ila ana upeo finyu wa kuelewa mambo.
Hii ni hofu, umesema nina ndoto. Alafu hapo hapo unahofia tena ndotoBado hajawa matured mentality huyo na hapati na hatapata
You Mr mabakuli there are numerous people who have run for president knowing they had no practical chance of winning. So tuliza hayo mabakuliI bet my soul, he will never even make into the list of the reign
Wewe unajulikana bhana mpaka Mashemeji zako wa nyuma ya Keyboard wanakuita Mheshimiwa,Sioni haja ya kuendelea kujibizana na Wewe halafu hata siku moja huwezi ukamrekebisha mtu kwa kuandika reply zako zilizojaa mihemko tena ile ya kike. Una PhD ndio kwani Uongo ? UNAJULIKANA WEWE. Jitahidi kuwa na tafakuri ya kina pale unapojaribu kum quote Mtu.Huyu sio ananikubali, Ila ananiogopa. Ananipa hadhi nisiyokua nayo, mara nataka kugombea uraisi, mara nna PhD, hii yote ni hofu😂
ShekpeYou Mr mabakuli there are numerous people who have run for president knowing they had no practical chance of winning. So tuliza hayo mabakuli
Kumbe unapenda nini? Mbona umelialia sana?😂😂😂😂😂
Sipendi huruma ya mtu Mzee
Hii keyboard mbona umeikomalia sana? Na hii PhD nayo mbona umeikomalia? Mayanza mimi nikiona umeandika pumba nakukosoaWewe unajulikana bhana mpaka Mashemeji zako wa nyuma ya Keyboard wanakuita Mheshimiwa,Sioni haja ya kuendelea kujibizana na Wewe halafu hata siku moja huwezi ukamrekebisha mtu kwa kuandika reply zako zilizojaa mihemko tena ile ya kike. Una PhD ndio kwani Uongo ? UNAJULIKANA WEWE. Jitahidi kuwa na tafakuri ya kina pale unapojaribu kum quote Mtu.
Ww Mr mabakuli nikiwa raisi upinde sheria zitakua ngumu sana kwenuShekpe
Unaharibu lengo langu la kuanzisha huu uzi, na wakati nauanzisha nilimwomba Yeye mwenyewe Miss Leejay49 na akaruhusu. Hata huyo Baby wako Lamomy napitia baadhi ya contents zake nimwanzishie uzi kwa namna ambayo nitakavyoiona kutokana na kile huwa anakiandika. Na ameshanipo Go aheadMayanza nimeingia kwa ajili yako huku, unanipotezea muda
Sio leo tu, toka zamaniWw Mr mabakuli nikiwa raisi upinde sheria zitakua ngumu sana kwenu