Dear Miss Leejay49

Dear Miss Leejay49

mkuu Countrywide nakuelewa sana kiongozi ila tambua tu mtoa mada na mtolewa mada ni roho Moja.

Wenzio washashitukia hii michezo kitambo kaka. Huyu jamaa unayepambana nae Kuna ID nyingine ya kike inaitwa Nakadori ilikua inapigiwa promo na anachokosea anapita mule mule na hii ya Leejay.Ile iliitwa QUEEN OF MMU na hii walipambana iwe MISS JF (Huoni mfanano?).

ID ya nakadori bwana mayanza pia aliianzishia UZI KAMA HUU HUU na mwishowe ID ya nakadori ikatuma Uzi ambao ni Uzi wa nakadori wa mwisho maana nakadori alifurushwa na wadau wenye hasira kali 🤣 kwenye Uzi ule baada ya wadau kushitukia kuwa Uzi ule una dalili za kitapeli na kuhisi kuwa nakadori queen of MMU ni dume.
Nakadori wa mayanza alitupiwa mawe kwenye Uzi wake ule na baada ya hapo alipotea na ndipo Sasa promo zikahamia Kwa ID ya leejay fotenaa Kwa nguvu.
Angalia hizo screen shoots utaona kitu ila hiyo ni chembe tu ya chumvi baharini vipo vingi vyakuonyesha kuwa mtoa mada na mtolewa mada na baadhi ya wageni "waalikwa" hapa ni roho Moja🤣🤣 View attachment 2900729View attachment 2900731View attachment 2900732


YOU FEEL ME?🤣🤣


SAN JEN KARIZ Kichwa Kichafu Aigle DeMostAdmired @icebreaker kipara kipya NACKO Fakyuol Street College Lamomy
Nishaonekana mbaya bro, ngoja niache yalivyo. Huku hutakiwi kukosoa kabisa ukiona post kama hii kazi yako ni moja uwe unasifia tu. Hata we hapo tayari unatonekana ni tatizo
Nimechukua ushauri wa lamomy, case closed.
 
mkuu Countrywide nakuelewa sana kiongozi ila tambua tu mtoa mada na mtolewa mada ni roho Moja.

Wenzio washashitukia hii michezo kitambo kaka. Huyu jamaa unayepambana nae Kuna ID nyingine ya kike inaitwa Nakadori ilikua inapigiwa promo na anachokosea anapita mule mule na hii ya Leejay.Ile iliitwa QUEEN OF MMU na hii walipambana iwe MISS JF (Huoni mfanano?).

ID ya nakadori bwana mayanza pia aliianzishia UZI KAMA HUU HUU na mwishowe ID ya nakadori ikatuma Uzi ambao ni Uzi wa nakadori wa mwisho maana nakadori alifurushwa na wadau wenye hasira kali 🤣 kwenye Uzi ule baada ya wadau kushitukia kuwa Uzi ule una dalili za kitapeli na kuhisi kuwa nakadori queen of MMU ni dume.
Nakadori wa mayanza alitupiwa mawe kwenye Uzi wake ule na baada ya hapo alipotea na ndipo Sasa promo zikahamia Kwa ID ya leejay fotenaa Kwa nguvu.
Angalia hizo screen shoots utaona kitu ila hiyo ni chembe tu ya chumvi baharini vipo vingi vyakuonyesha kuwa mtoa mada na mtolewa mada na baadhi ya wageni "waalikwa" hapa ni roho Moja🤣🤣 View attachment 2900729View attachment 2900731View attachment 2900732


YOU FEEL ME?🤣🤣


SAN JEN KARIZ Kichwa Kichafu Aigle DeMostAdmired @icebreaker kipara kipya NACKO Fakyuol Street College Lamomy
😂😂😂 eee Manyanza unaitwa
 
Nimesoma huu ujumbe wako wewe endelea tu kuja dm leta MAUA mimi napeleka FEDHA nadhani umeona alichofanywa baba levo na harmonize...!! Mwache huyo binti mara 1
 
Dear Miss Leejay49 , Good evening my Favorite Member here at JF

As you said yesterday, after writing here that one of the JF Members I like is You. And Ivan Stepanov said he loves you, He also said the issue of spending money with You is not a problem for him 😂😂😂😂. After seeing our comments and you said that we should write our policies here at MMU so that you can see which ones will be important to you.

I have only my six reasons that makes me love you

1. "You have such a great sense of humor, it always brightens my day."

2." I really appreciate your kindness and empathy towards others."

3. "You have a unique perspective on things that I find really inspiring."

4."Your passion for [Giving likes to many members on their posts without bias] is incredible - it's really inspiring to see." 😇😇😇😇

5."I admire your confidence and strength in facing challenges." [ Especially when it comes to negative reactions here]

6."You have a way of making everyone around you feel comfortable and valued." [ although it is online 😂😂😂]

I wish you a good evening and blessed days with abundant grace, I hope one day we will see each other and we will sit at the same table drinking coffee or juice.

With love always ❤️❤️❤️
U also have a gud English.
 
Pole na hongera.
Ukimaliza UE tutaenda vacay kidg thatha na ba ako wa kambo😁😁😁
We sema kweli mum . Vacay ya wapi Tena ? 😆😑

Sema natamani nifike mwanza siku Moja ndio mkoa pekee mkubwa wa kuvutia ambao sijawahi tia mguu wangu hapo .

Tutapanga TU lkn usihofu 🥰
 
We sema kweli mum . Vacay ya wapi Tena ? 😆😑

Sema natamani nifike mwanza siku Moja ndio mkoa pekee mkubwa wa kuvutia ambao sijawahi tia mguu wangu hapo .

Tutapanga TU lkn usihofu 🥰
Tutamuuliza kwanza step dad tunaenda wapi😁😁😁😁😁.

Uje siku moja utembee tembeee.
Yeah tutapanga.
 
Dear Miss Leejay49 , Good evening my Favorite Member here at JF

As you said yesterday, after writing here that one of the JF Members I like is You. And Ivan Stepanov said he loves you, He also said the issue of spending money with You is not a problem for him 😂😂😂😂. After seeing our comments and you said that we should write our policies here at MMU so that you can see which ones will be important to you.

I have only my six reasons that makes me love you

1. "You have such a great sense of humor, it always brightens my day."

2." I really appreciate your kindness and empathy towards others."

3. "You have a unique perspective on things that I find really inspiring."

4."Your passion for [Giving likes to many members on their posts without bias] is incredible - it's really inspiring to see." 😇😇😇😇

5."I admire your confidence and strength in facing challenges." [ Especially when it comes to negative reactions here]

6."You have a way of making everyone around you feel comfortable and valued." [ although it is online 😂😂😂]

I wish you a good evening and blessed days with abundant grace, I hope one day we will see each other and we will sit at the same table drinking coffee or juice.

With love always ❤️❤️❤️
Umeshapoteza mkuu. Ngoja nimpe dili la kutengeneza madirisha ya Aluminium 24
 
Back
Top Bottom