Dear Miss Leejay49

Nimepata ujumbe wako umenishambulia, nilikua sina mpango wa kuingiia humu jf leo, nipo busy. Sasa nimekuja kwa ajili yako tuliza presha twende taratibu kabla hujapoteana
 
Sihitaji ujibizane na mm, mm nakuweka sawa.
Unasema nacriticise comment za mabinti? Mayanza mm sio Kama ww, mm sio dhaifu. Ww unayeogopa hata kucriticise hao unaosema mabinti tu kwa kuhisi wanaweza kukuonea huruma, mayanza tupo dunia ya nipe nikupe hakuna huruma.

Sina ndoto ya kuwa raisi, labda sasa useme umejuaje nina hiyo ndoto. Na wakati naiota ww ulikua wapi?

Kama sipendi niwe nakaushia? Mayanza hilo kwangu halipo nikiona
Umeandika pumba nakutwanga

Sina uwezo wa kusoma kila post, hao uliowaandikia mm sikuona. Ningeona ningekukosoa

Mimi ni andazi? Na Hana baby hapa? Nilikuambia kuhusu lamomy hutaelewa chochote, usihangaike. Huyo na mimi ni together forever siwezi kuja kuachana nae kwa mazingira yoyote na siwezi kuja kumsema kwa jambo lolote baya. Siku hizi mbili tulikua tumetofautiana, Ila jana usiku tumeyamaliza mayanza
Na ndio ameniambia niingie leo nisome hizi porojo zako
 
Wewe mayanza hakuna nilipokuattack mm nimekuambia kweli, yes upo desparate. Kama kukuambia ukweli ni kukuchafua basi chafuka sana
Hakuna nilipokurupuka, upo desparate na unatumia njia ndefu sana. Mayanza hizi unasema compliments ni njia za kijadi sana, punguza maneno hakuna kuonewa huruma

Mwanamke anataka financial stability sio compliments
 
Mayanza umeandika pumba lazima tukukosoe, alafu unaonekana unapenda sana kuonewa huruma.
Kwa hiyo hapo ningekusifia nisingekua andazi?
 
Huyo Baby wako wa Keyboard ni Fwalaaaaaaaaaaaaaa tu amenichefua sana halafu Mimi ni A real Man sipendagi ujinga.
Mayanza mm nitakuchefua zaidi kama hutaacha huu ujinga.
Keyboard? Huyo lamomy nimekueleza siku ya kwanza tu unachotamani hakiwezi kuwa, huyo na mimi ni together forever. Nakupa taarifa mbaya jana usiku saa Tisa tumeyamaliza yaliyokua tumetofautiana
 
Mayanza anatumia njia za kizee sana, hawa vijana genye zinawapeleka vibaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…