Fallback
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 11,400
- 20,569
DuuuhMAKUCHUKIAAA 😡😡😡😡
DuuuhMAKUCHUKIAAA 😡😡😡😡
Sawa sawaWatu wa nje mnaonaga kupiga penalty ni rahisi sana ehee? Kisa tu yuko kipa na goal? Mambo kwa ground hayako hivyo babu.
Kaka yako tena? Mimi Lijei abakie kua mkuu wa Jeiefuu tu sitakagi makuu, Leejay49 mkuu salute endelea kuwauliza na kuwaumiza vichwa vyote vya juu na vya chiniOooh so cute.😂😁😁
Ni dada mtulivu asiyejua fujo mkuu ila kuna kaka yangu humu nataman yeye ndo amuoe Leejay nahisi watafaana kweli.
Aisee mkubwa mi nime miss sauti ya my lovely woman NuzulatiNjoo tuangalie mpira wewe DR Congo anacheza huku
Hello! Ukiweka story nyingine naomba unitag.Aisee mkubwa mi nime miss sauti ya my lovely woman Nuzulati
@loading failedInatia huzuni na hasira kusoma nyuzi kama hizi zinazo wajaza sifa wanawake humu JF.
Na mwisho wa siku hakuna wanachopata, nguo za ndani anavuliwa mshkaji ambae hata number yake haja save.
Ngoja nikalale sasa🤣🤣🤣🙌Huu mwaka wako jirani hata ukiotesha mawe yataota.
Wewe zoea watu kama ni mama yakoWe kunywa dawa umalize dozi
Una sh ngapiAliyeelewa anisaidie kunielewesha 😜
yeyo, takwenya!Manyanza begi za nguo ngapi unayo? una dstv maana kama unayo unatutisha nyie ndio mashemeji wa kujiona much no na huku meeta onyo shipina lesiu loota ngik kumok enjeba olng'ink enguk piu. Miata olbastola iata olnjelele 🤣☝️☝️heri ikawe kwenu siadi lesiu
SureWatu wa nje mnaonaga kupiga penalty ni rahisi sana ehee? Kisa tu yuko kipa na goal? Mambo kwa ground hayako hivyo babu.
Baadhi ya wanaue sio wote ume generalise sana mkuu.Wanaume kama mabinti
Worry out, With GOD blessings. tommorow mapema.
Huyo smart ndio kawehuka kabisa kila comments lazima amtake huyo Mahandow….Yani Jf inatakiwa kuanzisha wodi ya vichaa kabisa…😂😂😂😂😂 ……! Ndio maana unaweza ukakuta mtu anagombana na mtu hata hamjui kisa comments tuu au akamuandikia barua ya mapenzi kisa comments tuu na wakaingia penzini………
Ira sidai katukul, Sidai ainyiaka dol enenkaigilWewe zoea watu kama ni mama yako
Uko sahihi mkuu, halafu tuna free willing.Kwani watu wakiamua kutaniana na kufurahia, iwe kweli anamtaka au iwe sio kweli mnaumia nini?
Eti mtu anakuwa desperate akifungua uzi wa namna hii,zipo namna tofauti za kutafuta attention ya bidada, na kila mtu ana namna yake ya kumvutia mwanamke.
Mkuu mleta mada, just do what makes you happy.