Dear married men, acheni kuwaaibisha wake zenu

Dear married men, acheni kuwaaibisha wake zenu

Status
Not open for further replies.
Hilo ni tatizo lako ww na mumeo mlimalize kifamilia.
 
Yaani wanawake bhana.
Anapokuwa hajaolewa anachepuka na waume za watu.
Akishaolewa anataka mumewe asichepuke.
Sasa wenzake watahudumiwa na nani?
Maisha Ni mzunguko. Unamopita wewe na wengine watapitia humo humo.
Aafu suala la size kila mtu anapenda size anayoifurahia, wengine wanakojozwa na hela tu hivyo hata jamaa akigusa tu kwa nje mwanamke alisharidhika.
Na kila mtu ana namna ya kutumia silaha aliyonayo ikamletea mawindo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom