Niccolo Machiavelli
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 1,881
- 3,657
60% men have no marinda.....????....kama ni kwale basi dunia inaisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi nimeshituka sana na takwimu zake mkuu na nimeshangaa mtu unawezaje kuweka takwimu za kushitusha namna hiyo bila utafiti usio shaka.Aisee, najiuliza tu hiyo asilimia 60 ilivyopatikana.
Asilimia 60 zimenishtua kwakweli, na ukihoji kazipataje utaishia kuambiwa huna marinda, huku tumefika mbali sana.Hata mimi nimeshituka sana na takwimu zake mkuu na nimeshangaa mtu unawezaje kuweka takwimu za kushitusha namna hiyo bila utafiti usio shaka.
Vv
Kwakweli kwenye hizo asilimia 60 kunahitaji ufafanuzi, hili jambo limenishtua sana, ubongo wangu umeelewa kote kasoro hapo tu.watakao panic ndiyo wenye vibamia na marinda hawana nipo hapa nahesabu nadhani itazidi asilimia 60
Yatakuwa yamemfika bwana wake si ridhiki... Si kwa povu hilo“Asilimia 60 ya married man hawana marinda".....WTF!!!kama mumeo ameshazibuliwa au anazibuliwa mtaro usije hapa kukompea na wanaume wote na kuuzungumzia ujinga wake kutuunganisha nae...wewe kama uliangalia mtanashati unaegombania nae dressing table lotion na powder kila asubuhi ulitegemea umkute salama.umaarufu JF tafuta kwa njia nyengine sio hii kuandika kama kitu unakijua kumbe hukijui.na nimemekutukania kiungo chako cha uzazi.
sent from Kibiti with Nokia3310 using Jf app
Hivi wanawake pia si huwa mnapenda bembeleza wanaume waliooa tena huwa mnawaambia kabisa, "miye nitakuwa side chick, wala mkeo hatojua..."
Yamemkuta mengi kwa wakati mmoja kiasi hajui aanzie wapi. Ila nimefurahi the way amekiri kuwa mume wake marinda kwishnee...watu wanasugua washelpambana na situation yako mama sijui bibi.
Aisee, kwa maana hiyo asilimia 60 ya walio oa wako dating sites wanatafuta watu wa kuwashughulikia marinda yao? Bado napata shida kwakweli kuamini hizo percentage.
mmh hahaha me ngoja nione mwishoAmna kitu apo inawezekana marinda yake yanafanana na uo mdomo wake uliojaa uchafu,..
Kwakweli, hatukatai wala hatuwatetei watoa/watolewa marinda, paliponishtua ni hapo kwenye 60 percent alivyoipata, ubongo wangu umekua mzito kukubaliana nae, anyway hii dunia ina mengimie na ushamba wangu sitajaribu kwenda kwenye hizo sites jaman ndo maana wanakutana na maajab ya karne! hv huyo men anaanzaje kuniambia nimchezee mku.nd.u wake mm!aseeeeee
mmh hahaha me ngoja nione mwisho
Kwakweli, hatukatai wala hatuwatetei watoa/watolewa marinda, paliponishtua ni hapo kwenye 60 percent alivyoipata, ubongo wangu umekua mzito kukubaliana nae, anyway hii dunia ina mengi