Dear ladies...

Reward ya huyo mjane wake Ni nini hasa Kwa kuvumilia ushenzi wa mume wake aliefia kwenye kifua cha mwanamke mwenye umri sawa na mjukuu wake?

Wanawake wanapata nini kuvumilia mabaya ya waume zao Zaidi ya presha, msongo wa mawazo na aibu?
Utaitwa feminist na single maza, haha unaijua JF wewe? Nawapenda binadamu wanaosimamia mitazamo yao bila kujali wangapi watapenda wangapi hawatapenda, Hongera.
 
Ukielewa hii principle hlf ukapata mwanaume sahihi


Watu watasema umemloga na kweli ni haki yao kusema hivyo maana utafanyiwa makubwa sana...
 
Utaitwa feminist na single maza, haha unaijua JF wewe? Nawapenda binadamu wanaosimamia mitazamo yao bila kujali wangapi watapenda wangapi hawatapenda, Hongera.
Hahah hata nikiitwa, sioni tusi liko wapi. Wakiweza kunijibu tunanufaika na nini kusamehe upuuzi huu then i can reconsider my opinion lakini kwa sasa naona huu uzi unapotosha sana.

Ntatoa mawazo yangu sababu najua mabinti wengi wanapitia humu kimya kimya wanasoma kinachoandikwa na asilimia nyingi nyuzi kama hizi zinapotosha. Lazima hivi vitu vitamkwe wazi ili wajue it doesn't have to be this way.
 
Kuna silaha kubwa sana MUNGU amewapatia all Ladies out there ila niwenye busara tu ndio hufunuliwa neema hiyo, mwanaume ni kiumbe strong lakini pia ni kiumbe dhaifu kama mwanamke akiongea nae maneno mazuri sana no matter what affair yao iko vibaya either kwa mambo ya michepuko etc na bado mwanamke akavumilia na kuongea na mpenzi wake kwa lugha laini na yastaha amini usiamini Mume lazima atapata guilty conciseness na moyo wake utalainika kama biscuit na kumrudia mke wake na maisha yakaendelea
 
hakika ww ni mwanamke..
 
Mwisho wa siku hakuna taji, za kuambiwa changanya na zako.

I can’t live half of my life unhappy because of someone else

Badala nijiombee mwenyewe na wanangu malengo yangu etc nichakae kuhusu mume aisee hii si kumkomoa ila ni kuendelea na maisha yangu mengine mwanaume ni part tu ya maisha
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…