Mrimi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,691
- 640
Wakuu hapa kuna vitu watu wanachanganya. Baada ya matokeo ya form IV kutoka nacte wanaruhusu watu kuapply kozi mbalimbali ambazo zipo ktk vyuo vilivyo chini ya nacte. Na nacte wanasimamia kuanzia ngazi ya certificate hadi diploma. Kwa hiyo hiyo deadline iliyoko kwenye web ya nacte ni kwa wale wanaoomba ngazi hizo nilizosema.
Baada ya matokeo ya form 6 TCU nayo inatoa utaratibu wa kuapply for advanced diploma na degree mbalimbali ktk vyuo vikuu.Nayo TCU watatoa deadline yao.
Pia ni vema watu wajue kwamba inawezekana chuo kimoja kikawa kinatoa elimu inayoratibiwa na both TCU na nacte. Kwa mfano,KIU au St.Francis wanatoa kozi mbalimbali;yaani degrees zinazoratibiwa na TCU na certificate na diploma zinazoratibiwa na nacte.
Hivyo basi kama unataka kuapply for degree subiri TCU watafungua baada ya matokeo ya f6 kutoka. Lakini kama unaapply for certificate na diploma, you're running out of time,ingia sasa hivi nacte,chagua kozi na vyuo vilivyo chini ya nacte vimeirodheshwa pale.
Nasisitiza tena,nacte hawahusiki na elimu ya viwango vya degree na kuendelea. TCU nao hawahusiki na elimu ya certificate na ordinary diploma.
Pengine kinachochanganya watu ni hii ya kutumia mfumo mmoja ktk kufanya application, yaani CAS,but this does not make it possible kuapply for certificate UDOM!!
Baada ya matokeo ya form 6 TCU nayo inatoa utaratibu wa kuapply for advanced diploma na degree mbalimbali ktk vyuo vikuu.Nayo TCU watatoa deadline yao.
Pia ni vema watu wajue kwamba inawezekana chuo kimoja kikawa kinatoa elimu inayoratibiwa na both TCU na nacte. Kwa mfano,KIU au St.Francis wanatoa kozi mbalimbali;yaani degrees zinazoratibiwa na TCU na certificate na diploma zinazoratibiwa na nacte.
Hivyo basi kama unataka kuapply for degree subiri TCU watafungua baada ya matokeo ya f6 kutoka. Lakini kama unaapply for certificate na diploma, you're running out of time,ingia sasa hivi nacte,chagua kozi na vyuo vilivyo chini ya nacte vimeirodheshwa pale.
Nasisitiza tena,nacte hawahusiki na elimu ya viwango vya degree na kuendelea. TCU nao hawahusiki na elimu ya certificate na ordinary diploma.
Pengine kinachochanganya watu ni hii ya kutumia mfumo mmoja ktk kufanya application, yaani CAS,but this does not make it possible kuapply for certificate UDOM!!