De Clerk na Mandela, Magufuli na Rugemalira

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,327
24,192
Mandela alipotakiwa kukubali masharti ya kuachiwa gerezani, alisema maneno ambayo sasa ni ya kihistoria.
Alisema " Only free men can negotiate!"

Sasa tunaona mambo yanayolingana na hayo, mh Rais Magufuli amewataka wafungwa wa rumande ,wengi ambao hawajui kesi zao zitasikilizwa lini, waji commit makosa ili waachiwe huru.

Leo gazeti la Tanzania Daima lina kichwa kikubwa kudai mfungwa maarufu sasa ndg Rugemalira kukataa "offer" ya kukubali kosa ili aachiwe huru.

Historia inajirudia?
 
Mandela alipotakiwa kukubali masharti ya kuachiwa gerezani, alisema maneno ambayo sasa ni ya kihistoria.
Alisema " Only free men can negotiate!"

Sasa tunaona mambo yanayolingana na hayo, mh Rais Magufuli amewataka wafungwa wa rumande ambao hawajui kesi zao zitasikilizwa lini, waji commit makosa ili waachiwe huru.

Leo gazeti la Tanzania Daima lina kichwa kikubwa kudai mfungwa maarufu sasa ndg Rugemalira kukataa "offer" ya kukubali kosa ili aachiwe huru.

Historia inajirudia?
We jamaa nani kakudanganya kwamba KIFO NA USINGIZI Ni sawa?

Ruge hakupinga unyonyaji, hakupinga ubaguzi, hakukemea uvunjwaji wa katiba!

Itoshe sasa wengine tuwe tuna "comment na kulike" sio kuanzisha uzi please.
 
We jamaa nani kakudanganya kwamba KIFO NA USINGIZI Ni sawa?

Ruge hakupinga unyonyaji, hakupinga ubaguzi, hakukemea uvunjwaji wa katiba!

Itoshe sasa wengine tuwe tuna "comment na kulike" sio kuanzisha uzi please.
Mkuu tumia akili kidogo upate parallels.
Kwa taarifa yako mimi CCM damudamu lakini kwa nchi za utawala wa kisheria mtuhumiwa ana haki zake na ni jukumu la dola kuthibitisha tuhuma.
Wanalipwa kwa sababu hiyo.

Leo watu wanatiwa ndani on hearsay and flimsy charges.
3 years later waliomkamata hawajui wamemkamatia nini-no charges.

Hizi parallels za kihistoria inakuwa vigumu kuziona?
 
Bhebhe Jidula! Rugemalila halazimiki kukubali ofa hiyo wala Mh. Rais hamulazimishi Rugemalila aikubali ofa hiyo. Akubali, akatae kote sheria inaruhusu. Kwa hiyo both sides are legally concomitant.
 
Bhebhe Jidula! Rugemalila halazimiki kukubali ofa hiyo wala Mh. Rais hamulazimishi Rugemalila aikubali ofa hiyo. Akubali, akatae kote sheria inaruhusu. Kwa hiyo both sides are legally concomitant.
Nahene!
But the whole saga leaves a bityer taste.
Miaka mitatu baada ya kumuweka ndani mtu, hujui hata kosa lake kisheria.
The precedence is tantamount to an abuse of powers.
 
Mandela alipotakiwa kukubali masharti ya kuachiwa gerezani, alisema maneno ambayo sasa ni ya kihistoria.
Alisema " Only free men can negotiate!"

Sasa tunaona mambo yanayolingana na hayo, mh Rais Magufuli amewataka wafungwa wa rumande ambao hawajui kesi zao zitasikilizwa lini, waji commit makosa ili waachiwe huru.

Leo gazeti la Tanzania Daima lina kichwa kikubwa kudai mfungwa maarufu sasa ndg Rugemalira kukataa "offer" ya kukubali kosa ili aachiwe huru.

Historia inajirudia?
Kwanza badilisha kauli yako Magufuri hajasema kuwa wafungwa ambao hawajui kesi zao zitasikilizwa lini waji commit makosa ili waachiwe huru.
 
Back
Top Bottom