Mafiningo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 4,436
- 4,646
Alichofanya Mbunge ni kuwa upande wa wananchi walio mchagua, wakulima hawataki kuuza kwa mfumo wa stakabadhi gharani maana kuna hela walikopeshwa na wafanya biashara, sasa serikali ikisema inunue, wale wafanya biashara watalipwa nini?
DC amekaa pale kipigaji na hawasikilizi wananchi, alipoona wananchi wamekomalia kuikataa stakabadhi gharani akaja na upuuzi mwingine kwamba wafanya biashara waende wakanunulie ufuta hukohuko chunya tofauti na mwanzo ambapo ufuta ulikua unanunuliwa mbalizi, lakini hata hilo pia wafanya biashara hawataki maana hakuna miundo mbinu ya kueleweka, hakuna barabara ya kueleweka, hakuna maghara ya kuhifadhia mazao, hakuna huduma za kibenki, ina maana mtu ana uwezo wa kubeba million 50 anazurura nazo mtaani akitafuta mzigo, vipi kuhusu usalama wake?
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
DC amekaa pale kipigaji na hawasikilizi wananchi, alipoona wananchi wamekomalia kuikataa stakabadhi gharani akaja na upuuzi mwingine kwamba wafanya biashara waende wakanunulie ufuta hukohuko chunya tofauti na mwanzo ambapo ufuta ulikua unanunuliwa mbalizi, lakini hata hilo pia wafanya biashara hawataki maana hakuna miundo mbinu ya kueleweka, hakuna barabara ya kueleweka, hakuna maghara ya kuhifadhia mazao, hakuna huduma za kibenki, ina maana mtu ana uwezo wa kubeba million 50 anazurura nazo mtaani akitafuta mzigo, vipi kuhusu usalama wake?
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app