Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Kitendo cha huyu mama kuitwa msilamu wakati mkristo
kwa kweli ni cha kujiaibisha na hivyo anaitajika kupakwa mafuta ya roho mtakatifu
ili aendelee kuishi na mumewe vinginevyo aitajiki kuendelea kula unyumba wa mumewe
alie mkristo kwa kuukana ukristo..binafsi angekuwa mke wangu kabla ya kurudi nyumbani
namtunuku barua aaende kwa wazazi wake akaseme yeye ni mristo ama msilamu kaabla ya kuendelea
kula unyumba wangu...na ni mjanja sasa sanasana kma mmeona amekaa kimya kabisa
pili hili ni kwa waislamu wenzangu
embu muombeni rohomtakatifu awafungue sio kila kitu cha kukurupuka ama kupapatikia vinginevyo
chongo ..mlijua huyo mama msilamu??mlivyoona mtandio mkajua mngangane na hoja ya hijabu
unajua sisemi wote lakini viongozi wa bakwata wanaitaji kusikiliza usemi wa mwinyi na juzi kikwete
watu wameanzisha shule za miaka miwili jamani tunaweza kusoma kimya kimya hata ukifaulu kama utaki
kuvishwa taji kamwale watoto unakaa nyumban...kwa akili kabisa wanaenda kuitisha mkutano loh
akili ni nywele kweli..ndio maana wanazificha na mtandio
kwa kweli ni cha kujiaibisha na hivyo anaitajika kupakwa mafuta ya roho mtakatifu
ili aendelee kuishi na mumewe vinginevyo aitajiki kuendelea kula unyumba wa mumewe
alie mkristo kwa kuukana ukristo..binafsi angekuwa mke wangu kabla ya kurudi nyumbani
namtunuku barua aaende kwa wazazi wake akaseme yeye ni mristo ama msilamu kaabla ya kuendelea
kula unyumba wangu...na ni mjanja sasa sanasana kma mmeona amekaa kimya kabisa
pili hili ni kwa waislamu wenzangu
embu muombeni rohomtakatifu awafungue sio kila kitu cha kukurupuka ama kupapatikia vinginevyo
chongo ..mlijua huyo mama msilamu??mlivyoona mtandio mkajua mngangane na hoja ya hijabu
unajua sisemi wote lakini viongozi wa bakwata wanaitaji kusikiliza usemi wa mwinyi na juzi kikwete
watu wameanzisha shule za miaka miwili jamani tunaweza kusoma kimya kimya hata ukifaulu kama utaki
kuvishwa taji kamwale watoto unakaa nyumban...kwa akili kabisa wanaenda kuitisha mkutano loh
akili ni nywele kweli..ndio maana wanazificha na mtandio