Dc wa Igunga anaitaji apakwe mafuta ya roho mtakatifu kwa kweli

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,462
21,334
Kitendo cha huyu mama kuitwa msilamu wakati mkristo
kwa kweli ni cha kujiaibisha na hivyo anaitajika kupakwa mafuta ya roho mtakatifu
ili aendelee kuishi na mumewe vinginevyo aitajiki kuendelea kula unyumba wa mumewe
alie mkristo kwa kuukana ukristo..binafsi angekuwa mke wangu kabla ya kurudi nyumbani
namtunuku barua aaende kwa wazazi wake akaseme yeye ni mristo ama msilamu kaabla ya kuendelea
kula unyumba wangu...na ni mjanja sasa sanasana kma mmeona amekaa kimya kabisa

pili hili ni kwa waislamu wenzangu
embu muombeni rohomtakatifu awafungue sio kila kitu cha kukurupuka ama kupapatikia vinginevyo
chongo ..mlijua huyo mama msilamu??mlivyoona mtandio mkajua mngangane na hoja ya hijabu
unajua sisemi wote lakini viongozi wa bakwata wanaitaji kusikiliza usemi wa mwinyi na juzi kikwete
watu wameanzisha shule za miaka miwili jamani tunaweza kusoma kimya kimya hata ukifaulu kama utaki
kuvishwa taji kamwale watoto unakaa nyumban...kwa akili kabisa wanaenda kuitisha mkutano loh
akili ni nywele kweli..ndio maana wanazificha na mtandio
 
Siamini mpaka sasa kweli viongozi wa bakwata awajui maana ya mtandio na hijab inaonyesha hata wake zao wananunuliwaga nguo na wenza wao sio hivi hvi
 
Kitendo cha huyu mama kuitwa msilamu wakati mkristo
kwa kweli ni cha kujiaibisha na hivyo anaitajika kupakwa mafuta ya roho mtakatifu
ili aendelee kuishi na mumewe vinginevyo aitajiki kuendelea kula unyumba wa mumewe
alie mkristo kwa kuukana ukristo..binafsi angekuwa mke wangu kabla ya kurudi nyumbani
namtunuku barua aaende kwa wazazi wake akaseme yeye ni mristo ama msilamu kaabla ya kuendelea
kula unyumba wangu...na ni mjanja sasa sanasana kma mmeona amekaa kimya kabisa

pili hili ni kwa waislamu wenzangu
embu muombeni rohomtakatifu awafungue sio kila kitu cha kukurupuka ama kupapatikia vinginevyo
chongo ..mlijua huyo mama msilamu??mlivyoona mtandio mkajua mngangane na hoja ya hijabu
unajua sisemi wote lakini viongozi wa bakwata wanaitaji kusikiliza usemi wa mwinyi na juzi kikwete
watu wameanzisha shule za miaka miwili jamani tunaweza kusoma kimya kimya hata ukifaulu kama utaki
kuvishwa taji kamwale watoto unakaa nyumban...kwa akili kabisa wanaenda kuitisha mkutano loh
akili ni nywele kweli..ndio maana wanazificha na mtandio

Katika uislamu hii kitu haipo
 
Siamini mpaka sasa kweli viongozi wa bakwata awajui maana ya mtandio na hijab inaonyesha hata wake zao wananunuliwaga nguo na wenza wao sio hivi hvi
wake wanne na maisha yale igunga utawanunulia nguo kwa hela ipi kama si kuvaa sare za CCM tu????????

ila FATUMA KIMARIO hafai kwenye uislkam wala ukristo.Ni malaya wa dini
 
Haaaahaaaa heee weee mariaaa weeeeyeeee
kama sio hivyo itakuwa tumbokanyan hawa watu ukiona hivyo hata nje ya ndoa kutoka ni rahisi sana kama wanaweza kudanganya waume zao hivi nini kutoa sherrynooooo
 
Haaaahaaaa heee weee mariaaa weeeeyeeee
kama sio hivyo itakuwa tumbokanyan hawa watu ukiona hivyo hata nje ya ndoa kutoka ni rahisi sana kama wanaweza kudanganya waume zao hivi nini kutoa sherrynooooo

yaan mimi namfaham binti yake na kama mama yake anatabia za binti basi bora mtu afe bila kuwa na mke kuliko hii damu ya Fatuma.
 
Kitendo cha huyu mama kuitwa msilamu wakati mkristo
kwa kweli ni cha kujiaibisha na hivyo anaitajika kupakwa mafuta ya roho mtakatifu
ili aendelee kuishi na mumewe vinginevyo aitajiki kuendelea kula unyumba wa mumewe
alie mkristo kwa kuukana ukristo..binafsi angekuwa mke wangu kabla ya kurudi nyumbani
namtunuku barua aaende kwa wazazi wake akaseme yeye ni mristo ama msilamu kaabla ya kuendelea
kula unyumba wangu...na ni mjanja sasa sanasana kma mmeona amekaa kimya kabisa

pili hili ni kwa waislamu wenzangu
embu muombeni rohomtakatifu awafungue sio kila kitu cha kukurupuka ama kupapatikia vinginevyo
chongo ..mlijua huyo mama msilamu??mlivyoona mtandio mkajua mngangane na hoja ya hijabu
unajua sisemi wote lakini viongozi wa bakwata wanaitaji kusikiliza usemi wa mwinyi na juzi kikwete
watu wameanzisha shule za miaka miwili jamani tunaweza kusoma kimya kimya hata ukifaulu kama utaki
kuvishwa taji kamwale watoto unakaa nyumban...kwa akili kabisa wanaenda kuitisha mkutano loh
akili ni nywele kweli..ndio maana wanazificha na mtandio

Once again BAKWATA imepata AIBUUUUUUUUUUUU!!!!! shule hamna pale, daah wavevunja rekodi hawajui tofauti ya MTANDIO na Hijabu!!!
 
wake wanne na maisha yale igunga utawanunulia nguo kwa hela ipi kama si kuvaa sare za CCM tu????????

ila FATUMA KIMARIO hafai kwenye uislkam wala ukristo.Ni malaya wa dini
sio tu dini PAMOJA NA CHAMA.....NIMEANZA KUJIHOJI ALIUPATAJE UKUU WA WILAYA
NAKUMBUKA ENZI ZA LOWASSA ILIKUWA WATU WANAWALIZA MABINTI NA KUWAHDII
UKUU WA WILAYA WAKIFIKA MUDA WANAMPA LOWASAA NA WENZAKE WANAKAA NA MZEE WAO
WANALETA UPUPU HADHARANI ..UNASHANGAA HEE HATA HUYU OOHH MUULIZE KAWAJIBIKAJE MPAKA AMEFIKA UKO
 
katika uislamu hii kitu haipo

ipo soma vizuri amjagundua tu anywya tusifike huko twendelee na kumsaidia fatma kimario kwenye ndoa yake sijui kama bado imesimama mi nasema hata huyo mume nae akiendelea kula tunda atakuwa najisi maana amekanwa kiapo alichoapa kanisan anaendeleaje kula unajisi??ndio maana namshauri akapakwe mafuta upya ya roho mtakatifu akiri kuukana ukristo na kumrudia mumewe na kama waliendelea kuoanana kinyumba na mumewe nalpo akaombee msamaha maana akuwa na tofauti ya nyumba ndogo
 
Kitendo cha huyu mama kuitwa msilamu wakati mkristo
kwa kweli ni cha kujiaibisha na hivyo anaitajika kupakwa mafuta ya roho mtakatifu
ili aendelee kuishi na mumewe vinginevyo aitajiki kuendelea kula unyumba wa mumewe
alie mkristo kwa kuukana ukristo..binafsi angekuwa mke wangu kabla ya kurudi nyumbani
namtunuku barua aaende kwa wazazi wake akaseme yeye ni mristo ama msilamu kaabla ya kuendelea
kula unyumba wangu...na ni mjanja sasa sanasana kma mmeona amekaa kimya kabisa

pili hili ni kwa waislamu wenzangu
embu muombeni rohomtakatifu awafungue sio kila kitu cha kukurupuka ama kupapatikia vinginevyo
chongo ..mlijua huyo mama msilamu??mlivyoona mtandio mkajua mngangane na hoja ya hijabu
unajua sisemi wote lakini viongozi wa bakwata wanaitaji kusikiliza usemi wa mwinyi na juzi kikwete
watu wameanzisha shule za miaka miwili jamani tunaweza kusoma kimya kimya hata ukifaulu kama utaki
kuvishwa taji kamwale watoto unakaa nyumban...kwa akili kabisa wanaenda kuitisha mkutano loh
akili ni nywele kweli..ndio maana wanazificha na mtandio

Labda apakwe mafuta ya hii kitu: mdudu3.jpg
 
Stakafullilahiiiii la bramini
tusifike huko mpwa topic aitaisha hii mpwa
 
Matola nenda kanisa la mbezi beach ukapewe live
huyu mama mwizi wa dini za watu sijui ana nyumba ndoogo mslamu ndio kaamua kukumbushia ati alivuliwa hijab shoewine kweli
na mchana mwema
 
Matola nenda kanisa la mbezi beach ukapewe live
huyu mama mwizi wa dini za watu sijui ana nyumba ndoogo mslamu ndio kaamua kukumbushia ati alivuliwa hijab shoewine kweli
na mchana mwema
mimi nipo uingereza hilo kanisa la mbezi liko wapi hapa leceister city?
 
Jamani ninaomba mwenye ukweli kuhusu huyu dc atujuze. Je ni mkristo kweli au walifunga ndoa ya bomani?
MATOLA:Ukweli wa Fatuma Kimaruio:
BAKWATA wamejidhihirisha ni wavivu wa kufikiri. Wamelalama eti uislam umeaibishwa kwa kuwa Fatuma Kimario kavuliwa kitambaa wakiamini ni Muislam. Jirani wa DC anayeishi naye mbezi kavujisha ukweli kuwa huyu mama ni mkristo kaolewa na bwana Joseph Kimario kwa ndoa ya kikatoliki tena mzee wake ni mzee wa kanisa la katoliki mbezi. Pia DC huyu na mumewe wana nyumba na shamba tegeta na ktk shamba hilo wanafuga nguruwe na mama huyu ni muuzaji maarufu wa hawa nguruwe hapo tegeta na ni mlaji mzuri tu wa hii kitu .
Shamba lake la tegeta:
View attachment 37862
 
yaan mimi namfaham binti yake na kama mama yake anatabia za binti basi bora mtu afe bila kuwa na mke kuliko hii damu ya Fatuma.
Maria jimwage kuhusu uyo binti, niPM walau official name yake ili intelijesia ifanye kazi yake tuweke mambo hapa.
 
matola:ukweli wa fatuma kimaruio:
bakwata wamejidhihirisha ni wavivu wa kufikiri. Wamelalama eti uislam umeaibishwa kwa kuwa fatuma kimario kavuliwa kitambaa wakiamini ni muislam. Jirani wa dc anayeishi naye mbezi kavujisha ukweli kuwa huyu mama ni mkristo kaolewa na bwana joseph kimario kwa ndoa ya kikatoliki tena mzee wake ni mzee wa kanisa la katoliki mbezi. Pia dc huyu na mumewe wana nyumba na shamba tegeta na ktk shamba hilo wanafuga nguruwe na mama huyu ni muuzaji maarufu wa hawa nguruwe hapo tegeta na ni mlaji mzuri tu wa hii kitu .
Shamba lake la tegeta:
View attachment 37862

mkuu tena ana bahati naona nguruwe pori kabisa ni wachache saana kuwa nao ningekuwa bakwata ningempa cheo cha imamu
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom