DC Ole Sabaya: Wilaya ya Hai haitakuwa uwanja wa majaribio ya kisiasa tena

Huyu jamaa ujana na Testosterone zilikuwa nyingi kuliko maarifa. Ukiwa unatumwa kufanya uhalifu hakikisha unakusanya ushahidi ili siku moja wanaokutuma wakikugeuka ushahidi uliokusanya unakuwa ndiyo bima yako. Kama ni kweli alitumwa kufanya alichofanya, angerekodi hata mazungumzo ya simu ya aliyemtuma kufanya uhalifu na maovu. Au kama alikutana naye uso kwa uso angerekodi mazungumzo kimya kimya awe nayo.
Una record mazungumzo ya Rais!!??
 
Ukiangalia deep hii hukumu haimuhusu sabaya kuna mtu anaandaliwa kulimwa sa ili malalamiko yasiwe mengi wanajifanya kumsweka sabaya ili kusema sheria haichagui chama....hahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana. Unapenda iwe hivyo, lakini si kama upendavyo. Huna information za madudu ya Sabaya ndiyo maana unapata taabu kujaribu kuona kama "wanafanya hivyo.... Ili sijui iwe nini...... Hizi case ziko tofauti sana mkuu. Hii ya Sabaya ilikua wazi sana. Leo tr 18/10 anapandishwa tena kizimbani kwa case za uhujumu uchumi akiwa kwenye suti mpya.
 
Kwani atakuwa kada wa kwanza kufungwa?!!! Khaaa

Mahakama haina mwenyewe....haki ikitendeka inatendeka tu ....

TUWEKE AKIBA YA MANENO KUNA KESHO PIA....

Jela haina mwenyewe....
Ina maana hukuona kwamba matendo yake yangeilazimu mahakama kutoa hukumu kama hiyo?? Ni kipindi cha mwendakuzimu tu ndiyo hili lisingewezekana kwa sababu mahakama isingekua huru. Nani kwanza angemfungulia kesi mtoto mpendwa?
 
Sabaya wewe Mwenyewe umesahau kesi yako kujifanya Usalama wa Taifa.

Ulifaa uwe Jela ukitumikia kifungo ,dhidi ya jinai ulizotenda kwa kujifanya Usalama wa Taifa.
Kumbuka usitukane Mamba kabla hujavuka Mto,

Bado nakuona wewe ni Mfungwa wa Kesho.
Hatimaye yule mamba uliyemtahadharisha keshamtia kimyiani.!
 
Nyerere alikuwa ana angalia familia atokayo mtu kabla ya kumpa uongozi kwa aliyowafanyia watu wa serengeti baba yake mzazi na Sabaya akiwa DC haikustaili mwanae kupewa uDC, mtoto urithi ya baba
 
Mungu ni Mungu wa Vita.
Nikusahihishe kidogo hapa. Ulitakiwa useme Mungu ni BWANA wa vita.
Ukiyachunguza vizuri Maandiko Matakatifu Biblia, utabaini kuwa Mungu huwa hatumii cheo "Mungu" anapokuwa anapambana vita, bali huwa anatumia cheo "Bwana". Katika matukio yote ndani ya Biblia ambayo Mungu aliwahi kufanya vita, alikuwa anatumia cheo "Bwana". Kwa mfano, wakati anaenda kuzichoma moto Sodoma na Gomora, alienda kama "Bwana". Vile vile kipindi cha Eliya wakati Nabii Eliya anawachinja manabii wa Baali, watu walisikika wakishuhudia kwa maneno yao wakisema "Bwana ndiye Mungu, Bwana ndiye Mungu "

Kwa hiyo Mungu anapokuwa vitani mara zote huwa anatumia cheo "Bwana", japo si kila mahali Mungu alipotajwa kama Bwana, alikuwa yuko vitani, hapana
 
Akizungumza Na Wazee 300 wa wilaya Ya Hai nyumbani kwake Uzunguni Bomang'ombe DC Sabaya Ametangaza onyo Kali dhidi ya Wahalifu wa kisiasa ambao kwa mara zote wamekuwa wakiitumia wilaya Hio Kama sehemu ya kujipatia umaarufu wa kisiasa kwa kufanya siasa za kihalifu ili wapate kiki.

Ole Sabaya Ametoa Onyo ilo la mwisho dhidi ya Wahalifu,Hili linawadia Siku chache baada ya Kukamatwa kwa Mbunge wa Arusha Mjini Lema ambae alikutwa akipanga uhalifu katika nyumba moja uko Dorcas Bomang'ombe Hai Kisha kuruka ukuta baada ya kuona polisi,

Tayari Ole Sabaya alishawashikilia Wahalifu wa kisiasa wakiwemo Mashinji,Owenya na wengine wengi ambao walijaribu kuleta taharuki wilayani humo.
View attachment 1271868
Nimeamini sasa
 
Sabaya kaonewa?

Unayasoma hayo wapi kwangu mkuu wangu? Au unayasoma hapa?

Sabaya: Haki Imetendeka na kuonekana ikitendeka

Sina shaka hata Idugunde Kamanda Asiyechoka Elitwege na binamu zao walioko chobingo:

IMG_20211016_132442_593.jpg


Watakuwa walipigwa bumbuwazi walipo kusoma 😁😁.

Tofautisha hukumu kuwa haki, si haki kwa maoni ya yeyote na maoni yasiyopendeka kupigwa munda JF.

"Here is where we dare air our views openly!"

Au nasema uongo kiongozi?
 
Back
Top Bottom