Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,597
- 46,206
Kwa nini wanaumia jambazi wa kutumia silaha kuhukumiwa?
Hii hukumu imenifikirisha sana, anyways wacha tusonge mbele! Naamini ndani ya CCM wengi wanaumia kimoyo moyo tu basi tu!