WADAU KUWEKEZA KWENYE KILIMO CHA ALIZETI IKUNGI
Serikali ya wilaya ya Ikungi imefanikiwa kuwaunganisha wadau wenye nia ya kuwekeza kwenye kilimo cha alizeti na taasisi za kifedha ikiwemo benki ya Maendeleo ya kilimo
Hatua hiyo imekuja baada ya kumalizika kwa kikao maalum cha majadiliano ya mwisho ya namna ya kuwawezesha wadau waliochukua mashamba yenye ukubwa wa hekari 4,500 kwa ajili ya Kuwekeza kwenye kilimo cha alizeti
Tayari serikali imewezesha kuundwa kwa kikosi kazi (task force)inayojumuisha wadau wanaolima alizeti, serikali, Halmashauri kupitia afisa kilimo na afisa ardhi, pamoja na taasisi zote za kifedha zikiwemo benki za bishara kwa ajili ya kutatua changamoto zilizojitokeza
Imetolewa na ofisi ya mkuu wa wilaya ya Ikungi
01/11/2021
Serikali ya wilaya ya Ikungi imefanikiwa kuwaunganisha wadau wenye nia ya kuwekeza kwenye kilimo cha alizeti na taasisi za kifedha ikiwemo benki ya Maendeleo ya kilimo
Hatua hiyo imekuja baada ya kumalizika kwa kikao maalum cha majadiliano ya mwisho ya namna ya kuwawezesha wadau waliochukua mashamba yenye ukubwa wa hekari 4,500 kwa ajili ya Kuwekeza kwenye kilimo cha alizeti
Tayari serikali imewezesha kuundwa kwa kikosi kazi (task force)inayojumuisha wadau wanaolima alizeti, serikali, Halmashauri kupitia afisa kilimo na afisa ardhi, pamoja na taasisi zote za kifedha zikiwemo benki za bishara kwa ajili ya kutatua changamoto zilizojitokeza
Imetolewa na ofisi ya mkuu wa wilaya ya Ikungi
01/11/2021