Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,551
- 272,295
anaitwa alhaji Musa Samizi , chanzo ni gazeti la nipashe la tarehe 13 nov 2013 , ukurasa wa 8 , Mwenyezi Mungu aiweke roho yake mahali inapostahili , AMINA .
anaitwa alhaji Musa Samizi , chanzo ni gazeti la nipashe la tarehe 13 nov 2013 , ukurasa wa 8 , Mwenyezi Mungu aiweke roho yake mahali inapostahili , AMINA .
Makamba alisema, "Nilizungumza na Samizi muda mfupi, baadaye nilipata simu kuwa mtu huyu amefariki... Wale mabwana walipiga baada ya kuchukua simu yake na kuangalia mtu wa mwisho kuzungumza naye."Baadaye ya kunieleza kuwa amefariki kwenye daladala, nikawaambia wampeleke Hospitali ya Lugalo kwa ajili ya taratibu nyingine... Kimsingi alikuwa anakwenda ofisi za TRA (Mamlaka ya Mapato Tanzania)."
Aisee.........:A S 39::A S 39::A S 39:
Mzee wetu huyo! nimemmiss vibomu vyake!
ha hahaha Safari_ni_Safari acha utani kwenye vitu sensitive kama kifo!
Please let us respect these peopleMzee wetu huyo! nimemmiss vibomu vyake!
Please let us respect these people
Please let us respect these people
Wazee wetu wazamani wengi hawakuwa mafisadi. Ila disadvantage yake wengi wanakufa maskini kwa sasa. Kuna mkuu wa wilaya mstaafu mmoja wa wilaya moja,tunapiga naye mambo mara nyingi. Lakini nikiangalia uwezo wake kwa sasa,namhurumia. Vijana tujitahidi tuwe tuna save na kuinvest kwamaisha yetu ya uzeeni.RIP DC!
Alazwe mahali panapostahili,,,,,,amen.
Mzee wetu huyo! nimemmiss!