Unajua mtiririko wa kauli zake umeniacha na mshangao mkubwa. Sijui alimgombeza au alimchimba mkwara marehemu mpaka akafa?
anaitwa alhaji Musa Samizi , chanzo ni gazeti la nipashe la tarehe 13 nov 2013 , ukurasa wa 8 , Mwenyezi Mungu aiweke roho yake mahali inapostahili , AMINA .
Kuna tatizo mkuu?!
anaitwa alhaji Musa Samizi , chanzo ni gazeti la nipashe la tarehe 13 nov 2013 , ukurasa wa 8 , Mwenyezi Mungu aiweke roho yake mahali inapostahili , AMINA .
hilo nalo la kuchunguzwa aisee !Unajua mtiririko wa kauli zake umeniacha na mshangao mkubwa. Sijui alimgombeza au alimchimba mkwara marehemu mpaka akafa?
siku zote wema na waadilifu huwa hawana maisha !Huyu alikuwa DC enzi za mwalimu madici wa siku hizi hawapandi daldala na hawaji kupanda tena kuwa DC au Mkurugenzi siku hizi andika YES
JK alishindwa hata kumpa bajaj?