Parabolic
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 2,743
- 2,601
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Albert Msando amefika kusali pamoja na waumini wa kanisa la Glory of Christ (Ufufuo na Uzima) wanaosali katika ukumbi wa Tanzanite jijini Dar es Salaam.
Awali kabla hajafika Naibu Katibu mkuu wa Kanisa hilo, Maximilian Machumu maarufu Askofu Mwanamapinduzi, aliwauliza waumini kama DC Msando kama amefika kwenye ibada yao, baada ya kiongozi huyo kuahidi kufika katika ibada hiyo wiki iliyopita.