DC Mrisho Gambo apandishwa kizimbani

Huyo Mrisho Gambo sifa zitamponza kama Nape.Hiyo jeuri ya kuwa mtandao mmoja na Riz1 na wenzake unakuwa na dharau,ulipe sasa gharama ya dharau zako,kesi usimame mwenyewe hakuna cha wakili wa serikali maana umeshitakiwa wewe kama wewe.naona utapata adabu na heshima kwa wafanyakazi weledi.
 
Kama wewe sio mrisho gamba mwenyewe utakuwa kuwadi wake
Mkuu umedhania sivyo kila kitu au na wewe ndie uliyempa hiyo Degree.... Kilaza huyo? tusiongee sana swala lipo mahakamani
 
Nina imani kabisa wapo wenye uwezo mzuri kabisa walioachwa na hatimae kichukuliwa watu wasio na uwezo kwa ajili tuu ya urafiki.Dc ni mwakilishi wa rais hivyo amemdhalilisha rais, kimsingi angetakiwa kujiuzulu.
 
Huyu kumbe tangu mwaka 2012 alikuwa mkuu wa wilaya enzi za JK halafu akapandishwa cheo kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha naonesha kejeli kwa JPM?

Hana maadili ya kiuongozi kwa kitendo tu cha kufikishwa mahakamani akishitakiwa kumkashifu afisa mwingine wa serikali.

HAFAI Arusha mmesikia hiyo? Msirudie makosa mrejesheni Lema haraka kwa sasa mna msaka tonge mdomoni hakuna mwakilishi wa ukweli hapo
 

Sasa kwenye kile kipengele cha mgombea asiwe na historia ya uhalifu au kuwahi shtakiwa kwa jinai mahakamani. Yeye alikwepaje?
 
Kumbe udhalilishaji walianza siku nyingi 😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…