PreGE2025 DC Mpogolo: Miaka minne Ilala imepokea zaidi ya bilioni 317 ya miradi mbalimbali ya maendeleo

PreGE2025 DC Mpogolo: Miaka minne Ilala imepokea zaidi ya bilioni 317 ya miradi mbalimbali ya maendeleo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
Mkuu wa wiyala ya Ilala Edward Mpogolo amemshukuru Rais Dkt. Samia kwa kuendelea kutoa pesa Halmashauri ya Ilala na kuweza kutekeleza Miradi mbali Mbali katika wilaya hiyo

Mpogolo amesema katika kipindi cha miaka 4 ya Rais Dkt. Samia zaidi ya Bilioni 317 zimetolewa kwenye wilaya ya Ilala na kutumika kwenye Miradi mbali mbali ya maendeleo

Mpogolo amesisitiza fedha zilizopokewa ni nyingi na zinaonyesha matokeo chanya katika miradi ya maendeleo kwa wananchi wilayani Ilala.

Pia soma Pre GE2025 Miradi kuelekea Uchaguzi Mkuu: Mhandisi Kundo akagua mradi wa maji unaonufaisha zaidi ya wakazi 200,000 Chalinze

Aidha Mkuu huyo wa wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo ameeleza kutokana na kazi kubwa aliyofanya Rais wa Tanzania Dokta Samia Suluhu Hassan kuna kila sababu ya kumpa kura za kutosha katika uchaguzi wa mwezi wa kumi mwaka huu.

 
Kwa wale mliopo Ilala mtuambie nini mmekiona katika miaka minne zaidi ya barabara ya mwendokasi ambayo imesimama kwa muda mrefu. Watuambie hizo bilioni 337 zimefanya nini kwa wananchi?
 
Back
Top Bottom