Online Pastor
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,948
- 1,515
Jibuni hoja kusema tu ni wanafiki haisaidii, watu wameshajua kumbe ofisi za umma zinatumika vibaya na watu tuliowaamini.
CCM ni matapeli haswa.Hawa wahuni na mafisadi wa chama cha wauaji wanatumia ajira za Serikali ambazo zinatokana na kodi za walipa kodi kuhonga ili kujionyesha kinapendwa sana kumbe sivyo kabisa!
Huwezi kuzungumzia maendeleo katika mazingira yaliyopo sasa.Siasa za tz ni malumbano kuwa hakuna vitu vya msingi vya kufanya ili kililetea maendeleo taifa hili nyinyi kila uchwao ni majungu tu aaa tumechoka badilikeni
Huwezi kuzungumzia maendeleo katika mazingira yaliyopo sasa.
Ikiwa DED ambae ana jukumu la kusimamia shughuli za maendeleo kwenye halmashauri, anaapa kutofanya hivyo kwenye kata ambazo madiwani wake wanatokana na CHADEMA....maendeleo yatatoka wapi hapo!?
Ssm ndiyo chama bora..!!??? Nadhani ata definition ya maendeleo huijui..Chadema ni chama la hovyo sana kuwahi kutokea duniani.
Wamekalia umbeya tu, sijui ndio utawapeleka ikulu??
Chadema, ni wajinga sasa huyu Nasari ataboa siri namna walivyonasa hizo taarifa, hafai ata kuwa na cheo chochote maana hapa kajitafutia kufuatiliwa na wasiojulikana ba ajue ni makosa kuingilia mawasiliano ya mtu.Hivi chadema kuna strategist? Au kila mtu anaweza amka asubuhi na kuanza kutekeleza ndoto yake kwa niaba ya chama?
Je inawezekana Lissu aliwafunika hawa vijana kisiasa sasa Lissu yupo ICU ndio wanachukua nafasi kutupa kete zao kisiasa ?
Hahahahahahah kwa maana kwamba madiwani wote walikuwa hawajaoa wamekuja kuoa juzi kati! Uongo mwingine DC kha!Sasa kama alimchangia Nassary alipomuomba mbona Nassary hakuhama ili kumuunga mkono rais? Anajifanya kwamba aliombwa kumchangia Lissu, atoe ushahidi kama alimchangia. Halafu hao madiwani wote aliwachangia michango ya harusi?
tafuta na weweNasari naye anatafuta kiki tu
Shughuli za maendelei ndio unasema utampa 2m na kumwambia akaandike barua. Shughuli za maendeleo ndio unamwambia hata akikupigia saa moja usiku mkutane myamalize. Shughuli za maendeleo ndio unamwambia umwongezee pesa. Wadanganye ccm wenzio na huyo bosi wako anayewapa pesa za wananchi kununua wananchi ili waipende ccm. Mnagawa watanzania yaani wasukuma mnaleta ukabila Tanzania. Kikwete tunakulaumu sana kwa kutuletea mkabila laana hii haitakuacha salama umearibu mazuri yako yoteDC ARUMERU MHE. MNYETI AJIBU MAPIGO YA NASSARI NA LEMA Dc Mnyeti: "
Video zote anazosambaza Nassari ni za mikutano yangu nikiwa Kwenye shughuli za maendeleo za Wilaya, anababaisha wasiojitambua"
DC ARUMERU: "Video zote anazosambaza Nassari ni za mikutano yangu nikiwa Kwenye shughuli za maendeleo za Wilaya,upinzani huu umekosa dira"
DC MNYETI: "Nilimchangia mchango wa harusi diwani aliyehamia CCM kama ambavyo nimekuwa nikiwasaidia madiwani wengi waliopo CHADEMA akiwemo Nassari"
DC MNYETI ARUMERU: "Nassari aweke pia video ambazo tumekaa nae akinieleza matatizo ya jimboni kwake."
DC ARUMERU: "Watumishi kumchangia harusi Diwani ndiyo rushwa wanayosema Chadema. Ila nilipoombwa kuchangia matibabu ya Lissu haikuwa rushwa"
Credit: DarMpya
mkuu amevuliwa nguo yuko uchi hadharani waliojirani nae wamstue anachofanya sasa ni kutanua miguu. Anazidi kuharibu
Sent from my SM-J100FN using JamiiForums mobile app