DC Mnyeti: Nilichangia mchango wa harusi diwani aliyehamia CCM kama ambavyo nimekuwa nikiwasaidia madiwani wengi CHADEMA

Rais Nixon aliweka tapes kwenye ofisi yake na kwenye ukumbi wa Watergate, ilipojajulikana iksbidi awe impeached akaacha kazi. Hizi tape ziliwekwa na nsni kwa ruhusa ya nani? Mkuu wa Wilaya hutembelewa na Rais na viongozi wengi nyeti kwa vile ni Mwenyekiti wa Kamati ys Ulinzi na Usalama; hivyo lazima kuna siri nyingi za nchi hii zimepelekwa Kenya na kwingineko. Lema na Nassari washitakiwe kwa ujasusi na kwa uhaini.
Ni za 2008 alikuwa bado hajawa rais wa wilaya. Au wewe unasemaje?
 
Rais Nixon aliweka tapes kwenye ofisi yake na kwenye ukumbi wa Watergate, ilipojajulikana iksbidi awe impeached akaacha kazi. Hizi tape ziliwekwa na nsni kwa ruhusa ya nani? Mkuu wa Wilaya hutembelewa na Rais na viongozi wengi nyeti kwa vile ni Mwenyekiti wa Kamati ys Ulinzi na Usalama; hivyo lazima kuna siri nyingi za nchi hii zimepelekwa Kenya na kwingineko. Lema na Nassari washitakiwe kwa ujasusi na kwa uhaini.
Aisee mnavyotapika hadi huruma.
 
Kama mipango yote ilipangwa na kuratibiwa na ccm basi hapo hamna kesi kwani vyombo vyote husika viko mifukoni mwao. Ila kama waheshimiwa hao walifanya hivyo kwa ridhaa yao wenyewe kwa nia ya kujitafutia umaarufu binafsi imekula kwao.
 
Mwenye picha ya Mnyeti na Afisa Tarafa la Themi aziweke hapa
17190478_1358144547584510_1742103129069717959_n.jpg
 
Haya umejibu kuhusu michango ya harusi na tumekuelewa (cdhan kama nimekubaliana na ww) ila vipi kuhusu hayo mengine yaliyozungumziwa humo??
 
Husishangae kesho atakapojibu hayo mengine yalikiwa ya 2008, kama baadhi ya "viwavi jeshi wa kijani" wanavyotetea.
2008 huyo DC alikuwa na cheo hicho?? Hahahaha aiseee weekend yangu tamu sana
 
Sawa michango ya harusi haikatazwi. Lakini ikiwa ni kwa masharti Fulani hapo inakua shida kidogo
 
Haya umejibu kuhusu michango ya harusi na tumekuelewa (cdhan kama nimekubaliana na ww) ila vipi kuhusu hayo mengine yaliyozungumziwa humo??
Hayo mengine hajayaona utasikia usinilishe maneno hahahahaha
 
Mnyeti ni kijana mmoja wa ovyo sana,wao na Gambo kuna wakati walitaka mpaka kupigana sbb kila mmoja anataka kuonekana kwa Sizonje

Huyu Mnyeti sifa zatamuua,toka akiwa shule ya Wazazi wa CCM ya Tegeta,anafahamika kwa unafiki wake na kujipendekeza,watoto wa Arusha wamemuumbua anabaki kusema alitoa michango ya harusi,yaani clip yote ye anajibu hapo tu tena kwa majibu mepesi hivyo?Hovyo kweli kweli
DC.ni chama gani
 
DC ARUMERU MHE. MNYETI AJIBU MAPIGO YA NASSARI NA LEMA Dc Mnyeti: "

Video zote anazosambaza Nassari ni za mikutano yangu nikiwa Kwenye shughuli za maendeleo za Wilaya, anababaisha wasiojitambua"

DC ARUMERU: "Video zote anazosambaza Nassari ni za mikutano yangu nikiwa Kwenye shughuli za maendeleo za Wilaya,upinzani huu umekosa dira"

DC MNYETI: "Nilimchangia mchango wa harusi diwani aliyehamia CCM kama ambavyo nimekuwa nikiwasaidia madiwani wengi waliopo CHADEMA akiwemo Nassari"

DC MNYETI ARUMERU: "Nassari aweke pia video ambazo tumekaa nae akinieleza matatizo ya jimboni kwake."

DC ARUMERU: "Watumishi kumchangia harusi Diwani ndiyo rushwa wanayosema Chadema. Ila nilipoombwa kuchangia matibabu ya Lissu haikuwa rushwa"

Credit: DarMpya
Ukiona hivyo sindano ishafika mahali pake sasa ni kukamua dawa nywiiiiiiiiiiiiihhhhhh! yalaaaaahhhh
 
Mkuu kubali ulitoa rushwa kwani kwa hali ya serikali ya awamu ya tano hakuna kiongozi wa serikali anaweza kumchangia kiongozi yeyote wa Chadema
Rais Magufuli hapendi masuala ya rushwa ni bora ukajiuzulu haraka
Na gambo naye aende na maji
 
Siasa za tz ni malumbano kuwa hakuna vitu vya msingi vya kufanya ili kililetea maendeleo taifa hili nyinyi kila uchwao ni majungu tu aaa tumechoka badilikeni
 
Back
Top Bottom