DC Makonda hapa nini kilikusibu

DC Makonda hapa nini kilikusibu

Hili pia linatoa fundisho fulani kuwa cheo ni dhamana na nguvu ya umma ndo nguvu kuu kuliko zote. Haipaswi kufurahia hali kama hii ila viongozi wana jambo la kujifunza. Mifano ipo mingi kama Sadam Hussein, Gadaff na wengineo ambao hawakuwahi kuwaza au kufikiria kuna siku wangeishi kwenye mitaro kama fuko kutokana na nguvu ya umma. Lakini siku ya siku walijikuta kwenye dhahama hiyo. Jambo la msingi kama viongozi waelewe madaraka ni dhamana tu wanapewa na wenye dhamana hiyo ni wananchi (umma). Ifike mahali tuwe na utashi wa kushughulikia/kutatua matatizo mapema kuliko kusubiri kuaibika namna hii.

Mkuu huo no upepo utapita tu
 
Duuh.....baada ya octoba sijui atajificha wapi
 
ona jinga hili chadema ndio waliowaambia tochi hakuna hakuna kusoma madai yenu tutayatimiza tutakutana tena tuzungumze tena mbona hawakwenda tena?

Ni moja kati ya mpango mkakati wa CDM......
 
Kwa picha hii basi naamini ni kweli Paul Makonda alisuluhisha mgomo, ile thread ya jana ilikua ina ukweli kumbe!! Hhahahahahaahhaaaaa Aliposikia anaitwa Makonda akajua ana undugu na Makonda wa Magari/ Mabasi, thubutuuuuuuu
MANI
 
Last edited by a moderator:
DSC02217.jpg
 

Attachments

  • 11169828_10203017708123989_8431725424314838965_n.jpg
    11169828_10203017708123989_8431725424314838965_n.jpg
    72.7 KB · Views: 425
Kumbe Pinda alishasoma alama za nyakati ndiyo maana hakutokea UBT, Konda bila kujua akapeleka mdhu..ti wake kichwakichwa wangemuulia pale
 
Ashukuru Mbowe kwenda Ubungo,vinginevyo angewajua wananchi kama wanamind U DC wake au la!
 
Inatufundisha tusiwe fisi mbele ya vita.
 
Nani asiyejua kuwa mgomo wa madereva umekuwa engineered na CDM....... !!!

Mkuu ukikutana na jamaa anayefikiria kidogo utajiona mjinga.

Atakuuliza, kwa hiyo na mgomo wa wafanya biashara kuhusu mashine za kieletronics nao ni chadema wamesababisha?!; mgomo wa madaktari nao ni chadema?, walimu nao ni chadema?! Na kila mgogoro chadema wanahusika?!

Kwa hiyo chadema huisimamisha serikali mara kwa mara?! Kuna haja gani ya kuwa na hiyo serikali sasa ambayo inatetemeshwa na chadema jk aliyiwahi kuita haimnyimi usingizi?!

Utajigundua wewe lafa..
 
Mkuu ukikutana na jamaa anayefikiria kidogo utajiona mjinga.

Atakuuliza, kwa hiyo na mgomo wa wafanya biashara kuhusu mashine za kieletronics nao ni chadema wamesababisha?!; mgomo wa madaktari nao ni chadema?, walimu nao ni chadema?! Na kila mgogoro chadema wanahusika?!

Kwa hiyo chadema huisimamisha serikali mara kwa mara?! Kuna haja gani ya kuwa na hiyo serikali sasa ambayo inatetemeshwa na chadema jk aliyiwahi kuita haimnyimi usingizi?!

Utajigundua wewe lafa..

Lafa mwenyewe......
 
Hahahaha The truth shall always prevail!!! Sasa wanafikiri wanatudanganya au wanajidanganya wa maCCM?
 
Hii picha ya Makonda ni dhahiri ni mpango wa CDM kabisa. Inaonekana wamesuka mkakati wa kumfanya DC Makonda aogope wananchi wake na kujificha nyuma ya polisi. CDM tumewashitukia.


Halaf haka ka Makonda kama sio riziki vile.
 
Maombi ya mnyororo yanaanza kumtafuna. Na bado Jana si kasema ataongoza mgomo baada ya siku saba. Ole wake asitekeleze aliyoahidi na asaliti mgomo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom