Apologise lady
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 5,980
- 3,115
Nimeishia kucheka, mwanaume anawaogopa wanaume wenzie loh!
siyo wanaume wote ni wanaume.Nimeishia kucheka, mwanaume anawaogopa wanaume wenzie loh!
siyo wanaume wote ni wanaume.
hali ilikuwa ngumu aliogopa kuziacha allowance akaona bora fedheha kuliko kipigoHakika kwa kweli, mwanaume aliyepewa jukumu lakuangalia usalama wa Tz mil kadhaa wa wilaya ya kinondoni hawezi kujificha kama kitoto kichanga mgongoni mwa mama yake, loh!!!!! naendelea kucheka tu mimi.
siyo wanaume wote ni wanaume.
Kama alivomfanyia Warioba naye kapigwa tu sasa.
Alafu kuna baadhi ya wanahabari wameamua kuipa 'bold' hii issue na kusema kuwa ndiye kamaliza mgomo lakini hii picha ukiilinganisha na ya Mh. Mbowe unapata jibu ambalo kimsingi ni jepesi!Kumbe Pinda alishasoma alama za nyakati ndiyo maana hakutokea UBT, Konda bila kujua akapeleka mdhu..ti wake kichwakichwa wangemuulia pale
ni mwanaume tu kwa sababu watu wanamwita hivyo. hata wanaume wa dar wanaafadhali mkuuKwahiyo unataka kusema kuwa " makonda ni mwanaume wa dar".?
chogobilo ccm damu damu hata kwa mambo yaliyo wazi kwa banadamu wooote wa dunia hii!! shame on you! p-- mbavu zako, hata kama unaneemeka wewe na ukoo wako sio lazima ujitoe akili kiasi hiki, kula kimyakimya utaendelea kuwa salama, vinginevyo ipo siku na haiko mbali tutaonana wabaya.Bahati yako dini yangu hairuhusu kulipiza kisasi, ungeisoma!!!!!Ona usivyokuwa na akili....... Unadhani angepigwa kisu ndo shida zao zingetatuliwa????
Uwe na upeo inaelekea huna upeo kabisa wewe na sidhani kwa mawazo yako kama haya unaweza kuendesha hata familia yako.......ujinga kabisa wewe unashabikia siasa za kijinga huna hata chembe ya ushahidi kuwa alimpiga mzee warioba na hata kwenye mdahalo hukuwepo ila ujinga ujinga ujinga tu ndo unawaza,tuliofuatilia mdahalo tunajua kilichotokea.......
....picha
Alikuwa Anajisaidia Haja KUBWA Hivyo Walikuwa Wanamkinga Hapo.
Hah hah no wonder alitoa kauli zisizo na chembe ya utekelezaji...