Kadanganye mumeo.
Lete ushahidi hapa.....
Kuwa makonda alimpiga mzee walioba
Kadanganye mumeo.
ukisikia mjusi kabanwa na mlango ndo hiki cha cha wenye kuipindua nchi
wewe ulikuwepo kwenye mdahalo wa JAJI? au ndo kujipendekeza... utagegedwa weyeeOna usivyokuwa na akili....... Unadhani angepigwa kisu ndo shida zao zingetatuliwa????
Uwe na upeo inaelekea huna upeo kabisa wewe na sidhani kwa mawazo yako kama haya unaweza kuendesha hata familia yako.......ujinga kabisa wewe unashabikia siasa za kijinga huna hata chembe ya ushahidi kuwa alimpiga mzee warioba na hata kwenye mdahalo hukuwepo ila ujinga ujinga ujinga tu ndo unawaza,tuliofuatilia mdahalo tunajua kilichotokea.......
Lete ushahidi hapa.....
Kuwa makonda alimpiga mzee walioba
....picha
sasa ndo wajipange kupokea majibu ya wanawanchi hiiBahati Yake Mbowe alimnusuru,angechafuka damu. Bado ccm wanafikiri wana akili kuliko Wa Tz. Hii cha Mtoto fainali October.
Dogo baada ya kumaliza kuongea jukwaani akakimbia na miki ili Mbowe asiitumie ndio vijana wa redbrigade walipo taka kumfinya mkuu wa wilaya aliye soma chuo kikuu kwa miaka 5 akisotea degree moja.
Hii ni fedheha kwa DC mzima kuchuchumaa nyuma ya askari polisi, kuna taarifa kuwa alipopolewa mawe na kulazimika kujificha nyuma ya gari.
Nani asiyejua kuwa mgomo wa madereva umekuwa engineered na CDM....... !!!
Wenye picha ya Kamamda Mbowe wakati akiingia ubungo aambatanishe na picha hii ya makonde ndiyo tutaelewa zaidi.