DC Makonda hapa nini kilikusibu

DC Makonda hapa nini kilikusibu

babumapunda

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
4,644
Reaction score
3,314
....picha
 

Attachments

  • 1430887693285.jpg
    1430887693285.jpg
    17.4 KB · Views: 2,628
Hah hah no wonder alitoa kauli zisizo na chembe ya utekelezaji...
 
Na wanapoua ndugu zenu barabarani Chadema endeeeleni kuwaunga mkono hivyo hivyo.
 
Wangelipiga hata kisu jinga hilo, wange mfanya kama yeye alivyo mfanya warioba
 
Yaani nime stuck hapa kichochoroni nimalize kwanza kicheko ndipo niingie barabarani manake mbavu zangu Hoi!
 
ukisikia mjusi kabanwa na mlango ndo hiki cha cha wenye kuipindua nchi
 
Nenda kamlaumu mumeo ambaye ni dereva wa daladala za huko Mbagala

Mimi baba yako wewe kama unabisha subiri kesho asubuhi nijisahaulishe soksi makusudi halafu uzame room ya bi mkubwa.Uwe na adabu.
 
Wangelipiga hata kisu jinga hilo, wange mfanya kama yeye alivyo mfanya warioba

Ona usivyokuwa na akili....... Unadhani angepigwa kisu ndo shida zao zingetatuliwa????
Uwe na upeo inaelekea huna upeo kabisa wewe na sidhani kwa mawazo yako kama haya unaweza kuendesha hata familia yako.......ujinga kabisa wewe unashabikia siasa za kijinga huna hata chembe ya ushahidi kuwa alimpiga mzee warioba na hata kwenye mdahalo hukuwepo ila ujinga ujinga ujinga tu ndo unawaza,tuliofuatilia mdahalo tunajua kilichotokea.......
 
Bahati Yake Mbowe alimnusuru,angechafuka damu. Bado ccm wanafikiri wana akili kuliko Wa Tz. Hii cha Mtoto fainali October.
 
Ona usivyokuwa na akili....... Unadhani angepigwa kisu ndo shida zao zingetatuliwa????
Uwe na upeo inaelekea huna upeo kabisa wewe na sidhani kwa mawazo yako kama haya unaweza kuendesha hata familia yako.......ujinga kabisa wewe unashabikia siasa za kijinga huna hata chembe ya ushahidi kuwa alimpiga mzee warioba na hata kwenye mdahalo hukuwepo ila ujinga ujinga ujinga tu ndo unawaza,tuliofuatilia mdahalo tunajua kilichotokea.......

Kadanganye mumeo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom