DC Jerry Muro na mbio za mwenge Arumeru

Nimeisoma hiyo barua lakini sijaona mahali uliposhurutishwa kuchangia. Watanzania acheni kulia lia kwa vitu vidogo vidogo.
Kama wewe hutaki kuchangia una uhuru na haki ya kukataa na hakuna atakaye kulazimisha.
 
Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, amewabana wafanyabiashara na watumishi wa umma wilayani huko kuchangia mbio za mwenge zitakazofanyika katika wilaya hiyo juni mwaka huu.

Unaletewa barua ofisini kwako yenye muhuri na saini ya mkuu wa wilaya ili uchangie, ambapo ni kama ombi lakini kwa namna nyingine ni lazima.

Mama Samia ukiwa kama Rais wetu, wakati umefika wa kutafakari na kupiga marufuku mchezo huu, maana najua hata wilaya nyingine watakuwa wanashurutishwa hivihivi. Je hii mpaka lini? Mama tunaomba utoe nenoView attachment 1796599
Hizi ni sababu ambazo zinakimbiza wawekezaji na wafanya biashara hapa nchini, na kuwachonganisha wafanyakazi na Serikali Yao, watu wametoka kupigwa makodi ya ajabu, korona imeharibi biashara, wafanyakazi hawajaongozewa mishara yeye anataka pesa, na Serikali wakati inaamua kukimbiza imeshatenga bajeti yake, kwani kama Serikali haina pesa wangeacha kama walivyofanya miaka mingine. Hatua za Haraka zichukiliwe kwa viongozi kama Hawa wanaichonganisha Serikali na Wananchi.
 
Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, amewabana wafanyabiashara na watumishi wa umma wilayani huko kuchangia mbio za mwenge zitakazofanyika katika wilaya hiyo juni mwaka huu.

Unaletewa barua ofisini kwako yenye muhuri na saini ya mkuu wa wilaya ili uchangie, ambapo ni kama ombi lakini kwa namna nyingine ni lazima.

Mama Samia ukiwa kama Rais wetu, wakati umefika wa kutafakari na kupiga marufuku mchezo huu, maana najua hata wilaya nyingine watakuwa wanashurutishwa hivihivi. Je hii mpaka lini? Mama tunaomba utoe nenoView attachment 1796599
Huo mwenge wa uhuru ni nchi gani hiyo inayotafuta uhuru karne hii?
 
Back
Top Bottom