Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,839
- 93,626
Hatari snWanaogopa nini wasiuweke stoo. Au wanaogopa laana za mizimu? Maana mwaka jana haukukimbizwa, mwaka huu jiwe likadondoka
Hatari snWanaogopa nini wasiuweke stoo. Au wanaogopa laana za mizimu? Maana mwaka jana haukukimbizwa, mwaka huu jiwe likadondoka
Hizi ni sababu ambazo zinakimbiza wawekezaji na wafanya biashara hapa nchini, na kuwachonganisha wafanyakazi na Serikali Yao, watu wametoka kupigwa makodi ya ajabu, korona imeharibi biashara, wafanyakazi hawajaongozewa mishara yeye anataka pesa, na Serikali wakati inaamua kukimbiza imeshatenga bajeti yake, kwani kama Serikali haina pesa wangeacha kama walivyofanya miaka mingine. Hatua za Haraka zichukiliwe kwa viongozi kama Hawa wanaichonganisha Serikali na Wananchi.Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, amewabana wafanyabiashara na watumishi wa umma wilayani huko kuchangia mbio za mwenge zitakazofanyika katika wilaya hiyo juni mwaka huu.
Unaletewa barua ofisini kwako yenye muhuri na saini ya mkuu wa wilaya ili uchangie, ambapo ni kama ombi lakini kwa namna nyingine ni lazima.
Mama Samia ukiwa kama Rais wetu, wakati umefika wa kutafakari na kupiga marufuku mchezo huu, maana najua hata wilaya nyingine watakuwa wanashurutishwa hivihivi. Je hii mpaka lini? Mama tunaomba utoe nenoView attachment 1796599
subiri uzaliwe maana wewe ulitolewa tumboni kwa mama yako kwa njia ya upasuajiUvccm hii sio size yenu. Hapa kaka zenu tunajadili vya msingi
Huo mwenge wa uhuru ni nchi gani hiyo inayotafuta uhuru karne hii?Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, amewabana wafanyabiashara na watumishi wa umma wilayani huko kuchangia mbio za mwenge zitakazofanyika katika wilaya hiyo juni mwaka huu.
Unaletewa barua ofisini kwako yenye muhuri na saini ya mkuu wa wilaya ili uchangie, ambapo ni kama ombi lakini kwa namna nyingine ni lazima.
Mama Samia ukiwa kama Rais wetu, wakati umefika wa kutafakari na kupiga marufuku mchezo huu, maana najua hata wilaya nyingine watakuwa wanashurutishwa hivihivi. Je hii mpaka lini? Mama tunaomba utoe nenoView attachment 1796599