DC Jerry Muro apiga marufuku mijadala ya katiba kwa wananchi wa wilaya ya Ikungi

Arudi UVCCM akawe sehemu ya mipasho.
Hiyo nafasi siyo ya propaganda.
Ndio maana watu wanataka nafasi hiyo ifutwe.
Tayari washalewa madaraka na kujiona kama wao ni sehemu ya watunga sheria
 
Huyu jamaa itakua akili hazimtoshi. Madaraka ya kulevya.

Naona kama taratibu tunaanza kurudi kule tulikotoka.
 
katiba sio kwa ajiri ya ikungi ni kwa maslah ya taifa
 
Haya majitu yenye vinasaba vya ushoga mama hayaepuke maana akili zao haziendani na sayari hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…