Fikra za kimasaburi na mukama ndizo za wasumbua magamba kazi kuingia na bastora kwenye kampeni.Halafu tukisema CHADEMA kimejaa wahuni kuanzia viongozi wake....Wapuuzi wengine humu wanaendelea kubisha. aaakhkhkhkh...puh!
Fikra za kimasaburi na mukama ndizo za wasumbua magamba kazi kuingia na bastora kwenye kampeni.Halafu tukisema CHADEMA kimejaa wahuni kuanzia viongozi wake....Wapuuzi wengine humu wanaendelea kubisha. aaakhkhkhkh...puh!
Halafu tukisema CHADEMA kimejaa wahuni kuanzia viongozi wake....Wapuuzi wengine humu wanaendelea kubisha. aaakhkhkhkh...puh!
Pamoja na uhuni huu walio uonesha Igunga inashangaza bado Chadema kinajiita ni Chama Makini! Chadema wanatumia akili za makalio kufikiria!
Halafu tukisema CHADEMA kimejaa wahuni kuanzia viongozi wake....Wapuuzi wengine humu wanaendelea kubisha. aaakhkhkhkh...puh!
nasikia DC ni mfugaji mzuri wa kitimoto pale maeneo ya mbezi-shambi
Chadema wataomba radhi kwa kosa lipi! Kwani kesi ilishaisha mahakamani na kuwatia hatiani watu wanaodaiwa kumdhalilisha! Na kama ikija hukumu ikaonekana kwamba wale watu hawana hatia kwa hiyo Chadema wawaombe nao msamaha kwa kuwachafulia majina! Tumia akili acha kutumia masaburi kufikiri. Chadema ni chama makini hakikurupuki kama serikali ya JK, mara hatuwatambui waasi wa Libya mara aibu.
Ni vyema BAKWATA wakalitolea tamko na hili la huyu mama DC mkatoliki-muislam la kufuga vitimoto vingi namna ile hm kwake
Godfrey Dilunga tuambie ni njaa au ushabiki ndio unaokusumbua? Hii ni mara ya pili unatoa uchambuzi hafifu uliojaa ushabiki usiona maana. Nakumbuka ulitoa mada ya kupinga hotuba ya Lema bungeni aliyotoa kama waziri kivuli wa Mambo ya Ndani. Leo bila aibu unarudia upupu mwingine. Mbona unalidharirisha gazeti ambalo linaheshimika sasa hapa nchini!
Halafu tukisema CHADEMA kimejaa wahuni kuanzia viongozi wake....Wapuuzi wengine humu wanaendelea kubisha. aaakhkhkhkh...puh!