Kuna mtu alihoji siku moja sababu za chadema kuwapa Raia mwema tangazo lake la bajeti ya upinzani na kuwanyima gazeti la Mwanahalisi.Ukisoma gazeti la mwanaccm Rostam Aziz la jana-RAI kuna makala zinamlaani vikali yule DC wa Igunga kwa uhalifu wake.Hakika njaa ni mbaya na ndio inalifanya Raia mwema lianze kuwa kama Toilet paper