DC HAPI AMALIZANA NA WAMACHINGA KINONDONI KWA KUWATENGEA MAENEO YA BIASHARA

DC HAPI AMALIZANA NA WAMACHINGA KINONDONI KWA KUWATENGEA MAENEO YA BIASHARA

Egnecious

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2015
Posts
899
Reaction score
999
*DC HAPI AMALIZANA NA WAMACHINGA KWA KUWATENGEA MAENEO RASMI YA BIASHARA*

Wafanya Biashara wadogo wadogo wajulikanao kama machinga wakifanya biashara zao kwa amani kabisa kwenye maeneo ambayo ni rasmi waliyotengewa na mkuu wa wilaya ya kinondoni Mh Hapi.

Mkuu wa Wilaya Ya Kinondoni ametenga maeneo hayo saba kwa ajili ya wamachinga kufanya shughuli zao kwa amani,maeneo hayo ni kituo cha Mwenge, Bunju, viwanja vya Biafra, Meko, Msasani Maguniani na Wazo na kwamba wamachinga watayatumia masoko hayo kwa awamu.

Masoko hayo yatatumika kwa awamu kuanzia jumatatu hadi jumapili, mfano leo litatumika la Kawe, kesho Mwenge hadi wiki inaisha
1482600983034.jpg
 
Huwa najikuta nacheka nikiona thread zako za kujiongelea.

Na wakiona eneo moja ndilo linawaingizia pesa zaidi, wakaamua kukaa siku zote utafanyaje?
 
Huwa najikuta nacheka nikiona thread zako za kujiongelea.

Na wakiona eneo moja ndilo linawaingizia pesa zaidi, wakaamua kukaa siku zote utafanyaje?
Wewe umejuaje kuwa ndio yeye anajipa promo? Huyo mwandishi wake na wala sio yeye.
 
Back
Top Bottom