DBB+ Nimeambiwa Sina sifa

Halafu sijaona application deadline kwenye guidebook sasa Sijui hili limekaaje?
 
Wamenibadilishia kutoka matokeo halisi ya mwaka Jana yani
PHY D CHEM B BIOS B+ Kwenda PHY F CHEM D BIOS C
Mungu wangu! naona Ndalichako kaamua, itakuwa wameamua kuzipandisha kwa level ya 2014 kurudi nyuma maana nyie mlishushiwa, hapo huna ujanja apply diploma tu...issue sio tu kwamba B iwe sawa na C bali hiyo C yenyewe iwe na marks za C ya 2014 kurudi nyuma...hehehe

Au kama huna haja na udaktari apply kozi nyingine isiyotaka ufaulu wa physics tofauti na hapo apply diploma tu.
 
Hiyo d na c ni point ngapi?
 
Sasa nifanyaje wakati guidebook imesema lazima uwe na point NNE. Yan two c's
Mbona points ziko vizuri? una D, B na B+ unajua tayari hizi ni points ngapi? Au hujui unachotaka usaidiwe?
 
Mbona points ziko vizuri? una D, B na B+ unajua tayari hizi ni points ngapi? Au hujui unachotaka usaidiwe?
Wameniambia not passed nimeshindwa kuvalidate my registration
 
Ndugu zangu wana jf mie nimehitimu kidato cha sita mwaka Jana nimesoma PCB nikapata phy d Chem b na bios b+
Nimeanza kuapply nilipofika validation wakanibia not passed kwa upande Wa A level? Msaada jamani
Hiyo ni SEC
 
Physics baada ya kubadilishiwa ana F Ndio maana huna sifa za kuaply MD/PHM dogo
 
Nenda Karimjee leo, kuna maonyesho ya taasisi za elimu ya juu. TCU, NACTE na HESLB wapo pia. Utapata ufafanuzi na ushauri
 
Nadhani lengo lako ni kudisplay hilo jina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…