Daz Baba amgundua mchawi wake

Sijawahi kuona picha ya daz akicheka au kutabasamu pozi ni hili la kigumu wakuu mwenye nayo naiomba
 
Ulitamani/Kujisikia Kumsaidia!?

Unapiga nae???
Hapana sipig nae ila vijiwe vyake na kampani yake wengi nawafahamu

Ishu ya kumsaidia kwa mim ilikua ni ngumu yule ameathirika kisaikolojia nilivomuona anahitaj msaada wa wataalamu wa mambo ya saikolojia kwa kuwa alikuwa mtu mwenye jina sasa hana jina wala fedha nahis imemuathir kwa namna moja au nyingine
 
tatizo wabongo tunapenda kudanganyana alafu ndio tunapotezana.....wote tunajua tatizo la Daz Baba ni kubwia Unga.

Cha Ajabu huyo muhandishi anamsikiliza anavyojieleza alafu anakwenda kuandika hivyo hivyo badala ya kumchana ukweli jamaa aache Unga.
 
Msanii mkongwe wa muziki wa hip hop,
Daz Baba amedai amegundua kitu
ambacho kinamkwamisha ashindwe
kufanya vizuri kama zamani
View attachment 501832
Daz ambaye amewahi kufanya vizuri na
nyimbo nyingi ikiwemo ‘Namba 8’,
ameimbia Bongo5 kuwa uwekezaji
katika kazi zake za muziki ndio kitu
ambacho kinamfelisha.
“Mimi kitu ambacho kinanikwamisha
kwa sasa ni video kali. Kwa sababu
nyimbo zangu ni kali sana na sijawahi
kufanya kazi mbaya katika maisha
yangu,” alisema Daz. “Kama ningepata
management kali ya kusimamia muziki
wangu na kuwekeza ningerudi vizuri
kwenye game,”
Aliongeza, “Siwezi kukata tamaa na
bado napambana najua bado nafasi ya
kufanya vizuri ninayo kwa sababu kila
kitu ninacho katika muziki wangu,”
Daz amedai kwa sasa anatafuta
management ambayo itasimamia muziki
wake.
Rapa huyo ni mmoja kati ya wasanii wa
Kundi la Daz Nunda ambao walifanya
vizuri katika kipindi cha nyuma.
Source: Bingo5
Ngada ni mbaya sana ,inasababisha unapiga hatua moja mbele lakini hatua tano nyuma.
 
tatizo wabongo tunapenda kudanganyana alafu ndio tunapotezana.....wote tunajua tatizo la Daz Baba ni kubwia Unga.

Cha Ajabu huyo muhandishi anamsikiliza anavyojieleza alafu anakwenda kuandika hivyo hivyo badala ya kumchana ukweli jamaa aache Unga.

Hivi unga unaachwa kwa kuambiwa ACHA?
 
Sijawahi kuona picha ya daz akicheka au kutabasamu pozi ni hili la kigumu wakuu mwenye nayo naiomba

Hii apa akitabasam!
images (2).jpg
 
Back
Top Bottom