Aisee bas sawa chiefKiswahili ndugu hicho
Yaani kama mtu kapika samaki aina ya papa na nguru chungu kimojaAisee bas sawa chief
Ulitamani/Kujisikia Kumsaidia!?Nilimuaona tabata segerea kwa bib kavaa ndala moja nyekundu nyingine blue
Unapiga nae???Bado anapiga kama kawaida
Hapana sipig nae ila vijiwe vyake na kampani yake wengi nawafahamuUlitamani/Kujisikia Kumsaidia!?
Unapiga nae???
Ngada ni mbaya sana ,inasababisha unapiga hatua moja mbele lakini hatua tano nyuma.Msanii mkongwe wa muziki wa hip hop,
Daz Baba amedai amegundua kitu
ambacho kinamkwamisha ashindwe
kufanya vizuri kama zamani
View attachment 501832
Daz ambaye amewahi kufanya vizuri na
nyimbo nyingi ikiwemo ‘Namba 8’,
ameimbia Bongo5 kuwa uwekezaji
katika kazi zake za muziki ndio kitu
ambacho kinamfelisha.
“Mimi kitu ambacho kinanikwamisha
kwa sasa ni video kali. Kwa sababu
nyimbo zangu ni kali sana na sijawahi
kufanya kazi mbaya katika maisha
yangu,” alisema Daz. “Kama ningepata
management kali ya kusimamia muziki
wangu na kuwekeza ningerudi vizuri
kwenye game,”
Aliongeza, “Siwezi kukata tamaa na
bado napambana najua bado nafasi ya
kufanya vizuri ninayo kwa sababu kila
kitu ninacho katika muziki wangu,”
Daz amedai kwa sasa anatafuta
management ambayo itasimamia muziki
wake.
Rapa huyo ni mmoja kati ya wasanii wa
Kundi la Daz Nunda ambao walifanya
vizuri katika kipindi cha nyuma.
Source: Bingo5
tatizo wabongo tunapenda kudanganyana alafu ndio tunapotezana.....wote tunajua tatizo la Daz Baba ni kubwia Unga.
Cha Ajabu huyo muhandishi anamsikiliza anavyojieleza alafu anakwenda kuandika hivyo hivyo badala ya kumchana ukweli jamaa aache Unga.
Sijawahi kuona picha ya daz akicheka au kutabasamu pozi ni hili la kigumu wakuu mwenye nayo naiomba
Acheni kuisingizia Bangi vitu vya ajabu ajabu.Bangi ndio inamkwamisha,zaidi ya hapo ni maneno tu ...
Anaipenda CHADEMANilimuaona tabata segerea kwa bib kavaa ndala moja nyekundu nyingine blue
Ya mbalizi tamu sana, hasa na kale ka-baridi aiseeBangi ni mbaya sana
Unatumia na ww?Ya mbalizi tamu sana, hasa na kale ka-baridi aisee
apewe msaada Kwa kuambiwa ukweli sio kumdanganya kuwa tatizo lake ni nimble zake kukosa video kali huo ni uongo ulio uchi kabisa.Hivi unga unaachwa kwa kuambiwa ACHA?