Daydream

Karucee

JF-Expert Member
Mar 11, 2012
18,146
34,190
Huku baby ananyonya ngoja akili iende safari kidogo.
Back then muda kama huu ningekuwa nishajipara nikauramba na sip Savannah yangu mixed with a shot or two of vodka nimerelax tuuu najipa raha taratibuuuu.
Kwa vile nipo hostel za chuo cha kodi (huwa na miss sana ITA ndio maana huwa napataja kila mara) tangu nimekula mchana sijala tena. So nahisi njaa kwa mbali but baadae naenda kula makange Rose Garden so haina noma. Ka pub ka ITA nakapenda kwa sababu ni decent, quiet na hamna hooligans wa kuniminya **** nikipita eti wanajidai wamelewa. Pia sihitaji kampani so nina uhuru wa kunywa alone bila mtu yeyote kuwaza nipo hunting au vipi na hivyo kujisogeza ili kujipendekeza. So nakunywa, nacheki simu bf anapiga. Hili nalo kwa machale? Kwa vile background ipo quiet napokea. So tunaongea namwambia leo tupo night class utakuja kuncheki? Anasema we piga shule kesho Sunday nitakufata tukale samaki Kawe Club. Nasikitika ila nikikata simu narukaruka. Namalizia cocktail yangu naenda kuchukua pochi na kubadili viatu. (sivai heels kwa sababu nilisema siku nikidondoka kisa pombe sitakunywa tena).
Naita taxi mimi huyoooo Rose Garden. Piga msosi wangu faster halafu naelekea Kibo Bar. Kuna mitaa siwezi kaa sana bf (mume kwa sasa) asinibambe. So nimeshafika Kibo. Leo sijui ninywe Martini? Baccardi naipenda but ipo siku karibu nilazwe spitali. Anyway, vodka will do me right so naendelea na vodka. Nipo garden so navua sandals and I love the feeling of newly mowed grass, and am happy. Kuna bendi leo inapiga muziki but I prefer serene settings. Kata mayi mtoto wa kike kwani nini? Baada ya muda vodka ishakwangua kila kitu so naagiza bites kabla kitchen haijafungwa. Nawaza kujisogeza jumba la sanaa ila nahisi shots zinapanda so sinywi tena mpaka nirudi level. Hapanogi na am bored, so ngoja nirudi chuo. Mida yenyewe hii. After all nisije lewa sana na bf anajua nimeshawacha pombe siku nyingi. So narudi chuo, naoga nalala. Am so happy. Next weekend tutajua imekaaje.
Sasa fast forward to reality. Nimeshaolew. Nimeacha pombe na starehe zote. Nimeshaitwa mama. Ngoja nilee, nigange yajayo.
 
mmh, aisee ujana tumeula tofauti.

Sikuwahi kuwa fun wa kutoka usiku kwenda mziki, though I had fun on my own ways.

Ilikuwa raha sana aisee, akyanani uzee ni mboga za majani na ushindwe kabisa.

Ila i was more happy the day i had my first born, siwezi elezea. He has my eyes, his daddy's nose, alinichekesha sana kwa kweli.
 
Ha ha ha Karucee, you really miss ur freedom it seems.
Learn to enjoy ur present; this is not healthy unajua.
 
Last edited by a moderator:
kuna upuuzi wa ujanani unachekesha na kufurahisha na unaukumbuka.

Japo kwa sasa hata upewe nini huwezi ufanya tena.

Naona kinachomchosha huyu ni umama, wakati mie ndio moment niliyowahi furahi zaidi.

Ha ha ha Karucee, you really miss ur freedom it seems.
Learn to enjoy ur present; this is not healthy unajua.
 
Last edited by a moderator:
mmh, aisee ujana tumeula tofauti.

Sikuwahi kuwa fun wa kutoka usiku kwenda mziki, though I had fun on my own ways.

Ilikuwa raha sana aisee, akyanani uzee ni mboga za majani na ushindwe kabisa.

Ila i was more happy the day i had my first born, siwezi elezea. He has my eyes, his daddy's nose, alinichekesha sana kwa kweli.

yeah, we differ sometimes Ma.
 
Ha ha ha Karucee, you really miss ur freedom it seems.
Learn to enjoy ur present; this is not healthy unajua.

kaunga, what I narrate is not an iota of things I have done. But dont get me wrong I would never go back to doing what I did back then. I dont regret, but it just seems insignificant.
 
Last edited by a moderator:
kaunga, what I narrate is not an iota of things I have done. But dont get me wrong I would never go back to doing what I did back then. I dont regret, but it just seems insignificant.


You really need 'something psychologically'
una 'kiu' ya kitu fulani hivi...
 
kuna upuuzi wa ujanani unachekesha na kufurahisha na unaukumbuka.

Japo kwa sasa hata upewe nini huwezi ufanya tena.

Naona kinachomchosha huyu ni umama, wakati mie ndio moment niliyowahi furahi zaidi.

no dear, umama haunichoshi. I feel that I was not alive before I became a mother. Sasa hivi I would not trade my new life for anything.
No matter what, nothing is more precious than my little one. Haya mengine ni mambo tu ulopitia ujanani. Na kama ulivyosema, huwezi kurudia, ila kwa wakati ule ulikuwa unaona ni mambo ya maana. Nikimuangalia baby huwa najiuliza kwann nilichelewa?
 
kuna upuuzi wa ujanani unachekesha na kufurahisha na unaukumbuka.

Japo kwa sasa hata upewe nini huwezi ufanya tena.

Naona kinachomchosha huyu ni umama, wakati mie ndio moment niliyowahi furahi zaidi.

Unasema nini Kongosho............hiyo mbona inakumbushiwaga, lazima kuna those day unajiachia kidogo
 
Last edited by a moderator:
Heri mie uzee naupiga vita kwa mapanga na sime! Ndo kwanzaa nataka kuoga nitoke. To be old is a choice, to grow up is optional.
mmh, aisee ujana tumeula tofauti.

Sikuwahi kuwa fun wa kutoka usiku kwenda mziki, though I had fun on my own ways.

Ilikuwa raha sana aisee, akyanani uzee ni mboga za majani na ushindwe kabisa.

Ila i was more happy the day i had my first born, siwezi elezea. He has my eyes, his daddy's nose, alinichekesha sana kwa kweli.
 
Heri mie uzee naupiga vita kwa mapanga na sime! Ndo kwanzaa nataka kuoga nitoke. To be old is a choice, to grow up is optional.

nakusifu. Mie sina nguvu tena ya kujirusha. Kwanza hata muziki ukipigwa kwa sauti unaniboa.
 
Memory lane kukumbushia sio mbaya
ILA samahani kuuliza ITA ndio wapi? Na kibo bar iko wapi manaake wikendi hii sio mbaya kwenda kupata double double not single, shaken
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom