Day to day, mbona JF Imepoa sana

Day to day, mbona JF Imepoa sana

Duh mumeharibu ladha kimtindo
Mkuu Kuna kipindi tulipatwa na taharuki tukaambiwa mode wa jf wanauza taarifa zetu kwa mapolisi tukamatwe nafkiri ni 2013 au 14😀😀Kuna majina yalifanana na jamaa fulani wa huko Twitter(X) ambaye mwisho wa jina Kuna 2014 nafkiri wakongwe wa humu wanaojua
 
Kila zama na kitabu chake. Ila pia kutokana na ongezeko la sacial media zingine zinafanya traffic ipungue humu. Huu mtandao hauwavutii sana chipukizi kutokana na maudhui yake.
 
Kila zama na kitabu chake. Ila pia kutokana na ongezeko la sacial media zingine zinafanya traffic ipungue humu. Huu mtandao hauwavutii sana chipukizi kutokana na maudhui yake.
Hao niliowataja ni wa zama zile Mkuu
Hata hivyo social media bado zilikuwepi
 
Back
Top Bottom