ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 8,046
- 2,932
Waalimu /madaktari nao ni secta binafsi? Mbona ndio walioanza kugoma?
Walimu waligoma lini?wanatishia nyau kila msimu hawawezi kugoma kwa sababu50%wana vyeti vya ku foji
Waalimu /madaktari nao ni secta binafsi? Mbona ndio walioanza kugoma?
barabara ya ubungo buguruni imeonekana kuwa na daladala japo ni kwa uchache sana
Kuna haja ya serikali kurudisha mashirika ya umma kwenye sekta ya usafirishaji ili tuindokane na usumbufu wa sekta binafsi ambayo ni ya kibepari na unyama. Kuwe na saccos kama Kenya na ntu binafsi asipewe leseni ya kusafirisha abiria. Ukawa anzeni na hili wazo kwani najua ccm hawawezi.
Bila shaka weye itakuwa mutoto ilisaliwa jusijusi tu hata iyo mashirika ya umma weye inayasikia tu haikuyaona eeeehhhh!!!
Hayo mashirika ya umma ndio yaliyotufilisi wakati wa nyerere ingawa alijaribu kuyabeba saaaana kwa pesa za serikali lakini zigo hilo lilimshinda akamtupia mwinyi.
Usinikumbushe ujinga ule, napata kichefuchefu.
Leo ni siku ya pili tangu kuanza kwa mgomo wa madereva.
nimepita maeneo ya mbezi,kimara hakuna daladala kabisa, watu wanasafiri kwa kupanda canter na bajaji.
Stand ya mkoa bado hakueleweki abiria wanaonekama kuwa wachache sana. Tofauti na siku ya jana
Kuna haja ya serikali kurudisha mashirika ya umma kwenye sekta ya usafirishaji ili tuindokane na usumbufu wa sekta binafsi ambayo ni ya kibepari na unyama. Kuwe na saccos kama Kenya na ntu binafsi asipewe leseni ya kusafirisha abiria. Ukawa anzeni na hili wazo kwani najua ccm hawawezi.
Kama serikali wanadai mgomo ni batili kwa nini wasiende mahakamani kuuzuia? Migomo ya walimu na madaktari huzuiwa kwa nguvu ya mahakama, kwa nini siyo huu mgomo?
Kuna haja ya serikali kurudisha mashirika ya umma kwenye sekta ya usafirishaji ili tuindokane na usumbufu wa sekta binafsi ambayo ni ya kibepari na unyama. Kuwe na saccos kama Kenya na ntu binafsi asipewe leseni ya kusafirisha abiria. Ukawa anzeni na hili wazo kwani najua ccm hawawezi.
Ili Kuondokana Na Usumbufu Huu Ni Wakati Sasa Serikali Iache Siasa Ifanye Kweli Kwa Kuanzisha Shirika La Usafilishaji Nchi Na Liwe Chini Jwtz Na Suma Jkt