Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 879
- 4,124
Ni aibu kwa mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya na viongozi wote wa DSM kwa namna mabasi ya mwendo kasi yanavyofanya kazi.
Mradi mkubwa kama huu hakuna kiongozi yeyote anayeuangalia wala kusimamia unajiendesha wenyewe. Magari yawepo au yasiwepo wala hakuna anayeangaika.
Mifumo ya ukataji tiketi imehujumiwa, tiketi zinachanwa kwa mkono, abiria wanakaa vituoni masaa, watu wanajazana kwenye magari kama wanyama and still yupo mkuu wa mkoa na wilaya wapo ofisini wanasubiri mapato.
Magari yanazidi kufa kila siku hakuna Karakana yakufanya ukarabati. Magari yanahongana unajiuliza hawa madereva waliowekewa njia zao maalumu wanashindwa kuwa na akili timamu?
Mradi una Rundo wafanyakazi na maaskari utadhani abiria wapo vitani. Mbona daladala hakuna askari? Askari kwenye vituo wanajazwa wa kazi gani?
NI aibu kwa kweli
Mradi mkubwa kama huu hakuna kiongozi yeyote anayeuangalia wala kusimamia unajiendesha wenyewe. Magari yawepo au yasiwepo wala hakuna anayeangaika.
Mifumo ya ukataji tiketi imehujumiwa, tiketi zinachanwa kwa mkono, abiria wanakaa vituoni masaa, watu wanajazana kwenye magari kama wanyama and still yupo mkuu wa mkoa na wilaya wapo ofisini wanasubiri mapato.
Magari yanazidi kufa kila siku hakuna Karakana yakufanya ukarabati. Magari yanahongana unajiuliza hawa madereva waliowekewa njia zao maalumu wanashindwa kuwa na akili timamu?
Mradi una Rundo wafanyakazi na maaskari utadhani abiria wapo vitani. Mbona daladala hakuna askari? Askari kwenye vituo wanajazwa wa kazi gani?
NI aibu kwa kweli