Mars Rover
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 338
- 140
Kama una tatizo lolote na Sony Xperia yeyote tujuze tukusaidie
(Huduma hii haipo kwa simu za Sony Ericsson)
(Huduma hii haipo kwa simu za Sony Ericsson)
Kwa kuwa hilo ni tatizo hardware tuambie unapatikana maeneo gani..Simu yangu ni sony xperia P LT22i,ina tatizo upande wa kuwekea simcard,kuna mtu alilazimisha kuiweka akageuza, akaharibu vimiguu vya mle ndani,msaada tafadhali
Simu hizi zinatumia Android lakini maintenance zake zinatumia tools na tricks tofauti kwa hiyo ni vizuri zikawa kwenye thread tofauti.. Pia thread ya Android kwa ujumla tayari ilishaanzishwa, siyo vizuri kurudia thread titlesMkuu pale juu Umesema HTC hapa Xperia Sony. Kwa nini usianzishe uzi mmoja wa Android maana hizo Simu kama ni matatizo ya software yanafanana.
Ni ushauri tu.
Mkuu pale juu Umesema HTC hapa Xperia Sony. Kwa nini usianzishe uzi mmoja wa Android maana hizo Simu kama ni matatizo ya software yanafanana.
Ni ushauri tu.
Kuna matatizo ambayo yanasababishwa na skin zinazoekwa juu ya android kama sense touchwiz nk
X10 itakuwa ni Sony - Ericsson na hii thread ni kwa Sony. Fuata maelekezoMim
i Nina Sony xperia no x10, imejiblock na ikanidai e.mail na favourate movie. nimesahau utanisaidiaje?
X10 itakuwa ni Sony - Ericsson na hii thread ni kwa Sony. Fuata maelekezo
Simu yangu ni sony xperia P LT22i,ina tatizo upande wa kuwekea simcard,kuna mtu alilazimisha kuiweka akageuza, akaharibu vimiguu vya mle ndani,msaada tafadhali
Je umejaribu kufanya hard reset kwenye simu yako... Unapofanya hard reset unaifanya system yako kusahau errors ndogo ndogo na kubwa zinazohusiana na software hivyo simu kurudia hali yake ya kawaida wakati ikiwa mpya kabisa.. utafanikiwa kwenye hili endapo tatizo halihusishi hardware ambayo ni headphone jack ya simu yakoNina Sony Experia LT26i imenasa kwenye headphone mode hivyo siwezi pokea simu na bahati mbaya zaidi fundi kapoteza kisehemu cha kuchomekea headphone. Msaada please
Nipo ifakara,mkoani morogoro
Hiyo unaweza kuipata brand new eBay kwa around dola 500 pamoja na shipping mkuu.. Kwa Tanzania hapa utaipata maduka yenye bidhaa za SonyNitapataje Sony Xperia Tablet Z3 compact? Tablet siyo simu
Simu yangu ni sony xperia P LT22i,ina tatizo upande wa kuwekea simcard,kuna mtu alilazimisha kuiweka akageuza, akaharibu vimiguu vya mle ndani,msaada tafadhali