KERO DAWASA kwanini mnafunga maji usiku, pakikucha mnafungua?

KERO DAWASA kwanini mnafunga maji usiku, pakikucha mnafungua?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Huu mgao wa maji kwa nini usiwe kwa usawa ? Sawa, Kimara iliongoza wananchi kudai haki Oct 29 lakini sio sawa kuwanyima huduma za kijamii
 
Halafu ruvu imejaa maji mpaka inatapika
 
Huu mgao wa maji kwa nini usiwe kwa usawa ? Sawa, Kimara iliongoza wananchi kudai haki Oct 29 lakini sio sawa kuwanyima huduma za kijamii
Rekebisha title au hata content , vyote havieleweki, pole kukosa maji, tuko pamoja
 
Rekebisha title au hata content , vyote havieleweki, pole kukosa maji, tuko pamoja
Title inaeleweka kabisa yaani usiku maji yanafungwa na pakikucha spana inakuja kukaza kabisa nati hata matone ya maji yanakosekana!!
 
Title inaeleweka kabisa yaani usiku maji yanafungwa na pakikucha spana inakuja kukaza kabisa nati hata matone ya maji yanakosekana!!
Asante kwa kuwaelewesha. Ni kweli yaani wanayafunga usiku huko kwenye switch zao mpaka kufikia asubuhi huku mtaani hakuna hata tone kwenye bomba. Kwa sababu wanapofunga sio mda huo huo yanakata , hua yanachukua mda kidogo ndio yanakata.Kwa hiyo usiku saa saba hadi saa 9 au 10 yanatoka ndio yanakua yanaishilia ikifika asubuhi hakuna kitu bombani
 
Back
Top Bottom