Mawazo Kimaro
Member
- Dec 25, 2016
- 10
- 3
Naomba kufaham ni kwanini misuli inachezacheza. Misuli ya mikononi na miguuni. Je kuna uhusiano na suala la msongo wa mawazo. Nn nfanye ili kupunguza msongo. Nna miaka23. Natanguliza shukurani
Misuli kukucheza ni mzunguko wako wa damu na sio maradhi mimi hunitokea wakati fualni kama inavyokutokea wewe ondoa shaka.Mkuu....hivi misuli kucheza cheza husabaishwa na nini. Je kuna uhusiano wowote na msongo mkali wa mawazo?? Naomba kujua jinsi ya kupambana na msongo wa nawazo. Natanguliza shukurani
Dawa nyingine sijui ila hiyo ya kukuza hiyo kitu magumashi sana.Tatizo dawa zake zina bei kubwa sana.natamani sana dawa ya kurefusha **** ila mashaka
Mkuu.....Wakuu
Naomba kuuliza dawa za mzizi mkavu zile za kumrefusha bwana mkubwa zinafanya kazi kweli au ndo wajanja wa town. kuna yeyote aliwahi kutumia akapata matokeo chanya? Kama kweli zinatibu kwanini asitumie verified user kwa jina halisi na picha yake ili aongeze uaminifu kwa wateja wake. Ni mashaka yangu tu kama kuna mtu ana ufafanuzi anaweza akanisaidia hapa jukwaan.
Ukitaka kumnasa haraka unaweka alama ya at @ halaf jina lake(username) atapewa ujumbe umemtaja. Mfano njoo huku Herbalist Dr MziziMkavu unaitwa na hawaa96Msaada kiongozi mzizi mkavu
Alinipiga pesa kwenye dawa ya kukuza mashine, nenda kwa tahahari.Wakuu
Naomba kuuliza dawa za mzizi mkavu zile za kumrefusha bwana mkubwa zinafanya kazi kweli au ndo wajanja wa town. kuna yeyote aliwahi kutumia akapata matokeo chanya? Kama kweli zinatibu kwanini asitumie verified user kwa jina halisi na picha yake ili aongeze uaminifu kwa wateja wake. Ni mashaka yangu tu kama kuna mtu ana ufafanuzi anaweza akanisaidia hapa jukwaan.
Ila si alisema humu jf hajawai kumtibu mtu bwa shehe.?Alinipiga pesa kwenye dawa ya kukuza mashine, nenda kwa tahahari.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Wewe elewa hivyoIla si alisema humu jf hajawai kumtibu mtu bwa shehe.?
Habari Mie naomba kufahamu dawa ya u.t.i sugu na p.i.d Kwa jinsia ya kike ni maradhi ambayo yananisumbua Sana
Alikupiga sh.ngapi? Na mashine haikuongezeka ama alikupigaje?Alinipiga pesa kwenye dawa ya kukuza mashine, nenda kwa tahahari.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Kwenye laki 2, dawa feki, kwanza iliniletea vipele hatari. Tena kwa kuangalia ni kama yalikuwa ni mafuta ya mzeituni yakachangsnywa na kitu flan hivi, na unga sijui ni wa nini, nilikuwa natumia kuchua.Alikupiga sh.ngapi? Na mashine haikuongezeka ama alikupigaje?
Aisee pole sana mkuu na asante sana kwa kutusanua.Kwenye laki 2, dawa feki, kwanza iliniletea vipele hatari. Tena kwa kuangalia ni kama yalikuwa ni mafuta ya mzeituni yakachangsnywa na kitu flan hivi, na unga sijui ni wa nini, nilikuwa natumia kuchua.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Sina chuki na huyo mtu, wala sijui ufanisi wa dawa zake nyingine, ila kwa dawa za kukuza mashine ni feki kabisa.Aisee pole sana mkuu na asante sana kwa kutusanua.