Muanzisha mada nadhani hujafanya home work yako vizuri kwa kuwa hufahamu kazi za TPRI. Jinsi majukumu ya TPRI yalivyo kuhusiana na viuatilifu (pestcides) ni sawa na mkemia mkuu wa serikali (GCLA) kuhusu kemikali za viwandani mf Cyanide au mamlaka ya vipimo na mizani (WMA) na mizani. Nadhani hakuna haja ya kuendelea kuijadili hii mada zaidi. Nawasilisha
.Imefikia wakati wa serikali kuingilia swala la watu kuuziwa dawa fake kutoka China na India. Kwa kuwa dawa za malarial ni vingonge na ni vya Generic drug TPRI inaweka kuomba formular ya dawa na kutengeneza pale Arusha
.
TPRI-Tanzania Pesticides research Institute! I hope unajua maana ya 'Pesticides'.. Irrelevant to ur topic!!