Which means wanawapa chakula ili wakikubali kula wafe, kwa sababu aliyekubali kula alikufa! Kwa sababu madawa na chakula havichangamani!Hivyo basi, kama mtuhumiwa akipewa chakula na kukataa kula inaweza kuwa ni dalili kuwa amemeza vidonge vya dawa za kulevya.
Which means Mtanzania wa tatu ambae umesema hakukamatwa alipekwa mahakamani bila kukamatwa!Baada ya hapo, Watanzania wote watatu walipelekwa mahakamani
Sasa huyu ni Mtanzania wa pili ambae yeye alikataa kula wala kunywa lakini hali yake ilizidi kuwa mbaya, which means kumbe hakuna haja ya kumjaribu mtu kama atakubali kula kwa sababu kumbe ama ule ama usile, ama unywe ama usinywe, ukibeba madawa hali yako itakuwa mbaya anyway, na tunajua atakaekubali kula atakufa!Hali ya Mtanzania wa pili ilizidi kuwa mbaya na alipelekwa katika hospitali ya JJ.
Which means huyu wa tatu alikuwa anahojiwa labda kwenye simu au kwa e-mail au kwa mayowe ya mbali mbali kwa sababu umesema waliokuwa wameshikiliwa kuhojiwa ni wawili, mmoja wao yuko ICU mwingine kafa, wa tatu hakushikiliwa!Mtanzania wa tatu, ambaye ni mwanamke wa makamo, bado anahojiwa na vyombo husika.
Which means alipelekwa mahakani kusomewa mashitaka labda ya kukaa kiti cha karibu na wabeba madawa! Kwa sababu umesema yeye aliambatana tu, na hawajui kama dawa ni zake ama sio zake, na mahakamani akapekwa vile vile!Upelelezi bado unaendelea kujua kama alikuwa mmiliki wa hizo dawa za kulevya.
Naona kuna wanasheria wa kuutetea uhalifu wa madawa ya kulevya humu!
Wewe unategemea askari wa TZ,wawakamate "mapunda" wa madawa ya kulevya?!Inna Lillahi wa inna Illahi Rajjun!!!. Mola atuepushe na aibu za kufa vifo vyenye fedhea kubwa kwa familia zetu!
Sasa Serikali ya India ilipataje hizo taarifa? Kwanini Serikali ya TZ isishirikiane nao ili wakamatwe huku huku?
wangeweza itwist vizuri wanaweza komaa kuwa jamaa ndio wamemuua, kwa vile walimlazimisha kula na hivyo kumuua.Halafu km CCM hazitodanganya basi waendelee kudai hata hizo dawa nazo pia ni matokeo ya kulazimishwa kula na kumeza ,na hivyo hao polisi waeleze walizipata wapi dawa na chakula.
Kua suspect ni very subjective, na sio mbaya mtu akachagua randomly nani atahojiwa na nani asihojiwi. Hawawezi kumfunga mtu kabla ya kua na a minimum evidence kua kahusika katika titu kibaya. The scan was enough evidence, they should have started there.
Ila Kuwalazimisha kula na kunywa wamechemka. Na hapo ni wazi kua matendo yao yamesababisha huyo suspect kufa, na mwenzie kuweka maisha yake hatarini. HApa lazima serikali na familia za marhem wawajibishe hao border police.
Hivi wewe unafikiri kwa nini watanzania wanauza unga?
Kilimo kwanza ndio solution
Mkuu lakini kisheria huwezi kumlazimisha abiria yoyote kula wala kunywa. Miaka michache iliopita nilikataa kula wala kunywa, tena niliwaambia sitaki kusumbuliwa, na ilikuwa ni flight from AMS - LAX. Hakuna alienilazmisha wala kunishuku. Je ni kwanini hawakudhania mimi ni drug mule? Naomba kuelimishwa, manake isijekuwa wanawanyima hawa vijana haki zao kama abiria
Najua haki zangu na siuzi unga. Ole wake mtu yoyote a-assume mimi ni drug mule kwa kuwa nimekataa kula ama kunywa during the flight.Mleta uzi anasema walipewa tip-off; wewe kama ulipona ni bahati yako usirudie tena lakini!
<Jp Omuga>
Najua haki zangu na siuzi unga. Ole wake mtu yoyote a-assume mimi ni drug mule kwa kuwa nimekataa kula ama kunywa during the flight.
Ninachopinga ni endapo kigezo cha kumshuku abiria kama ni drug mule eti sababu amekataa kula ama kunywa during the flight. Kama kuna sababu nyingine ni sawa lakini sio eti kukataa kulaSherrif!
Hawa jamaa walishukiwa wakapitia uchunguzi wa awali na vipimo ikabainika walikuwa drug mules isipokuwa yule mwanamke!
Rai yangu ni kuwa muuza madawa/drug mule yeyote asipewe haki yoyote ile!