Dawa za Anxiety

Rog chimera

JF-Expert Member
Apr 28, 2018
346
546
Habari wakuu,

Naomba anayefahamu zinakopatikana dawa za anxiety disorders anisaidie.
Ninasumbuliwa na tatizo la bipolar disorder na anxiety, linanifanya nakuwa na hasira sana hata kwa vitu vidogo na pia nime develop tazo la kupanick katika mazingira fulani fulani.

Kuna dawa niliandikiwa na daktari mmoja huko nairobi inaitwa escitalopram nilitumia ilinisaidia sana lakn ss kwa hapa Dar sijui zinapatikana pharmacy ipi, regency nasikia zipo lakini sitaki kulipa hela ya consultation kwa sababu tatizo tayari linafahamika

Naomba kufahamishwa pharmacy zinakopatikana hizi dawa. 'ESCITALOPRAM "
 
Nenda kwa daktari wa magonjwa ya akili au neurologist mkuu. Ni makosa ku prescribe dawa hapa online.
Daktari alishaniandikia hizo dawa na kuelekeza zikiisha ninunue niendelee na dozi ni ya miezi sita . Sasa kwa muda huu siwez kurudi Nai mkuu na hakuna ulazima kama nikiweza kupata dawa huku huku nilipo.
 
Nenda Nakiete Pharamcy pale karibu na Mwenge kuna kituo cha dala dala kinaitwa ITV. Kuna jengo la ghorofa la rangi ya njano. Ni citalopram. Tafuta za miligram 10 ukizikosa wakupe za miligram 20 ila unywe nusu kidogonge kwa siku.
Ila pia nenda kapime kisukari kwanza... For more info nichek inbox...
 
Hili tatizo linatumaliza wengi.

Mimi naomba maelezo kidogo juu ya nini kinanisumbua kulingana na hizi symptoms hapa chini:-
1. Kukosa usingizi kabisa (napata labda masaa mawili kwa siku). Hii inaweza kwenda kwa hata miezi saba mpaka nane kwa mwaka.

2. Muoga/Aibu kuongea mbele ya watu. Hii sio muda wote. Kuna kipindi tu ghafla nakuwa hivyo hata kwa miezi kadhaa then narudi kuwa kawaida.

3. Panic (Selective au sijui niiteje) kuna mambo ambayo binadam kwa kawaida tunastahili kupanic na kuna ya kupotezea, sasa mimi napanic viti vya ajabu sana. Text SMS tu ya kawaida naweza panic na kupata hasira muda mrefu na nisisamehe kabisa. Lakini bunduki, msiba, ajali nachukulia poa kabisa.

4. Anti-Social in real life but very social in the internet and calls. Inapelekea kuoneaka naringa au najisikia.

5. Napenda kufanya kazi au jambo langu mwenyewe. Mpira ni shabiki sana lakini siwezi angalia na mtu.

6. Sipendi Ushauri mid way. Kama ni kununua au kuunda kitu changu, sitaki unishauri kabisa hata kama ni kuboresha. Lakini nikikamilisha niko tayari kupokea ushauri hata ikibidi kurudia upya.


DECLARATION:
1.Ni mgonjwa wa peptic Ulcers
2. Wakati fulani nilitumia marijuana ikasaidia sana kuzifunika hizo symptoms na nikawa kawaida sana. Kwa sasa nina miaka zaidi ya mitano situmii tena.
 
Hili tatizo linatumaliza wengi.

Mimi naomba maelezo kidogo juu ya nini kinanisumbua kulingana na hizi symptoms hapa chini:-
1. Kukosa usingizi kabisa (napata labda masaa mawili kwa siku). Hii inaweza kwenda kwa hata miezi saba mpaka nane kwa mwaka.

2. Muoga/Aibu kuongea mbele ya watu. Hii sio muda wote. Kuna kipindi tu ghafla nakuwa hivyo hata kwa miezi kadhaa then narudi kuwa kawaida.

3. Panic (Selective au sijui niiteje) kuna mambo ambayo binadam kwa kawaida tunastahili kupanic na kuna ya kupotezea, sasa mimi napanic viti vya ajabu sana. Text SMS tu ya kawaida naweza panic na kupata hasira muda mrefu na nisisamehe kabisa. Lakini bunduki, msiba, ajali nachukulia poa kabisa.

4. Anti-Social in real life but very social in the internet and calls. Inapelekea kuoneaka naringa au najisikia.

5. Napenda kufanya kazi au jambo langu mwenyewe. Mpira ni shabiki sana lakini siwezi angalia na mtu.

6. Sipendi Ushauri mid way. Kama ni kununua au kuunda kitu changu, sitaki unishauri kabisa hata kama ni kuboresha. Lakini nikikamilisha niko tayari kupokea ushauri hata ikibidi kurudia upya.


DECLARATION:
1.Ni mgonjwa wa peptic Ulcers
2. Wakati fulani nilitumia marijuana ikasaidia sana kuzifunika hizo symptoms na nikawa kawaida sana. Kwa sasa nina miaka zaidi ya mitano situmii tena.
Pole sana mkuu, una anxiety japo siwez specify kabisa ni ipi, mm pia nishapitia hii ,nilitibiwa ikapungua kwa kiasi kikubwa ila ss tatz limeamia kwenye hasira zisizo za kawaida na kupanic, kama uko dar es salaam nenda regency ukamuone psychiatrist anaitwa prof ndossi.
 
Fanya meditation pia kuwa msomaji Sana wa vitabu vya kubadilisha mind na mitizamo utakuwa umesolve Tatizo permanently. Unakunywa dawa Mpaka lini? Tatizo lako ni mindset zaidi ....
 
Pole sana mkuu, una anxiety japo siwez specify kabisa ni ipi, mm pia nishapitia hii ,nilitibiwa ikapungua kwa kiasi kikubwa ila ss tatz limeamia kwenye hasira zisizo za kawaida na kupanic, kama uko dar es salaam nenda regency ukamuone psychiatrist anaitwa prof ndossi.
Nimeweka jina lake katika kumbukumbu zangu.

Nitatafuta muda mzuri nikiwa mapumzikoni nikamwone.

Nashukuru sana ndugu
 
Tatizo weng tunakuwa selfsh sana tunajaza mambo katika ubongo mpaka unakuwa na usumbufu na weng tuna penda kukaa Jambo hata Yale yasio na msingi,na weng wanna wivu pitiliz inafikia KIPINDI anachukia hata wasio na shida kwao.

Jambo la msingi
Pata muda wa mazoezi
Pata muda saa hii wa kupumzika
Pata muda wa kusoma vitabu
Epuka marafiki ambao unahis Ni mzigo kwako au wanaviashiria vya kukufanya uwe na hasira
Mtu akikukwaza muda huo mueleze hisia zako usikae na jambo litakufanya ufikirie sana mwisho wa siku utakosa vingi
Changanyika na watu wenye muono tofauti na wew itakusaidia sana katika kubadili muono wako na akili yako.


Haya madawa yapo lakini ukiyatumia sana utajenga utegemez

Kwa mfano hapo ulipo ushajenga tatizo bila dawa hzo huwez kuwa sawa na mawazo juu na unahaha kuzipata

Haya magonjwa mengne Ni kuchange life style tu wataalamu wa afya ifikie kipind watoe elimu stahk si kumtutika mtu madawa.
 
Hili tatizo linatumaliza wengi.

Mimi naomba maelezo kidogo juu ya nini kinanisumbua kulingana na hizi symptoms hapa chini:-
1. Kukosa usingizi kabisa (napata labda masaa mawili kwa siku). Hii inaweza kwenda kwa hata miezi saba mpaka nane kwa mwaka.

2. Muoga/Aibu kuongea mbele ya watu. Hii sio muda wote. Kuna kipindi tu ghafla nakuwa hivyo hata kwa miezi kadhaa then narudi kuwa kawaida.

3. Panic (Selective au sijui niiteje) kuna mambo ambayo binadam kwa kawaida tunastahili kupanic na kuna ya kupotezea, sasa mimi napanic viti vya ajabu sana. Text SMS tu ya kawaida naweza panic na kupata hasira muda mrefu na nisisamehe kabisa. Lakini bunduki, msiba, ajali nachukulia poa kabisa.

4. Anti-Social in real life but very social in the internet and calls. Inapelekea kuoneaka naringa au najisikia.

5. Napenda kufanya kazi au jambo langu mwenyewe. Mpira ni shabiki sana lakini siwezi angalia na mtu.

6. Sipendi Ushauri mid way. Kama ni kununua au kuunda kitu changu, sitaki unishauri kabisa hata kama ni kuboresha. Lakini nikikamilisha niko tayari kupokea ushauri hata ikibidi kurudia upya.


DECLARATION:
1.Ni mgonjwa wa peptic Ulcers
2. Wakati fulani nilitumia marijuana ikasaidia sana kuzifunika hizo symptoms na nikawa kawaida sana. Kwa sasa nina miaka zaidi ya mitano situmii tena.
1. Fanya nazoezi utalala vizuri sana
2.------jiamini, acha kuikilia dunia itakuelewaje, maisha ni yaks, sasa kama unawazia sana watuwatakuchuliaje ndio unaleta hiyo
3.Acha kufikilia sana vitu vilivyopita ishi sasa achana na jana, kesho
4.mimi niko kama wewe hapo number 4 na sioni tatizo
5.nipo kama wewe hapo pia suoni shida, hata niliacha kazi ili nijiajiri mwenyewe, and i love it
6.hata mimi niko hivyo, tena mi hata sipokei ushauri
 
Habar wakuu naomba anayefahamu zinakopatikana dawa za anxiety disorders anisaidie,
Nna sumbuliwa na tatzo la bipolar disorder na anxiety .linanifanya nakuwa na hasira sana hata kwa vitu vidogo na pia nime develop tazo la kupanick katika mazingira fulani fulani. Kuna dawa niliandikiwa na daktari mmoja huko nairobi inaitwa escitalopram nilitumia ilinisaidia sana lakn ss kwa hapa dar sijui zinapatikana pharmacy ipi, regency naskia zipo lakini sitaki kulipa ela ya consultation kwa sabab tatz tayar linafahamika,naomba kufahamishwa pharmacy zinakopatikana hizi dawa. 'ESCITALOPRAM "

Mkuu, kwanza pole sana na matatizo hayo. yanayokusumbua.

Sasa ulichotakiwa kufanya kwanza kabisa kilikuwa ni kumuona mtaam wa saikolojia ambae angekufanyia tathmini au "assessment" kabla ya kwenda kwa daktari

Nasema hivyo kwa sababu kuanza kutumia dawa moja kwa moja huenda kukalikuza tatizo na kulifanya kubwa au kukapunguza tatizo.

Hivyo mtaalam wa saikolojia atakufanyia tathmini na kisha atashauriana na daktari (kupitia taarifa inayokuhusu) na wataona kama utumie dawa au zitumike njia zisozohusu matumizi ya dawa au "non medical therapies".

Kwa mfano hiyo dawa unaoihitaji ya 'ESCITALOPRAM ni kali sana na hutibu ugonjwa ukiwa katika hatua mbaya sana.

Moja ya side effects za hii dawa ni kuchelewa au kuwahi ku-come, je mkuu unasumbuliwa na hii kitu?

Ushsuri wangu ni kwamba muone kwanza mwanasaikolojia na akufanyie tathmini badala ya kuendelea kutumia hizi dawa ambazo zingine kwa Afrika kujaribu kufahamu source yake pana utata kidogo.

Huenda ikpatikana njia nzuri ya Non medical Therapy ambayo itaondoa tatizo la addiction ambayo itakuletea tabu "in a long run"..
 
Mm nna anxiety inaniletea panic attack
Naweza kupanic vitu ambavyo mtu mwingine anaona mbona kawaida.
Sijawahigi kwenda hosp najicontrol mwenyewe tu japo kwa shida.
Basi watu wangu wa karibu wameshanijua nikipanic wananiambia Relax....
Naweza kupanic kisa nmemtumia mtu sms kajibu sawa..kwamba sikutegemea ajibu ivyo...hapo basi ntazima adi na simu yenyewe

Mambo ni mengi wakuu/ila Tunapambana tu
 
1. Fanya nazoezi utalala vizuri sana
2.------jiamini, acha kuikilia dunia itakuelewaje, maisha ni yaks, sasa kama unawazia sana watuwatakuchuliaje ndio unaleta hiyo
3.Acha kufikilia sana vitu vilivyopita ishi sasa achana na jana, kesho
4.mimi niko kama wewe hapo number 4 na sioni tatizo
5.nipo kama wewe hapo pia suoni shida, hata niliacha kazi ili nijiajiri mwenyewe, and i love it
6.hata mimi niko hivyo, tena mi hata sipokei ushauri
It comforts me kujua kuna watu aina hii kama mimi. For a minute nilijuona an Allien hivi.

Asante Sara, ntafanyia kazi ushauri wako
 
Mm nna anxiety inaniletea panic attack
Naweza kupanic vitu ambavyo mtu mwingine anaona mbona kawaida.
Sijawahigi kwenda hosp najicontrol mwenyewe tu japo kwa shida.
Basi watu wangu wa karibu wameshanijua nikipanic wananiambia Relax....
Naweza kupanic kisa nmemtumia mtu sms kajibu sawa..kwamba sikutegemea ajibu ivyo...hapo basi ntazima adi na simu yenyewe

Mambo ni mengi wakuu/ila Tunapambana tu
Pole,

Kwa kuwa una watu/mtu wa karibu angalau hata mmoja anaekuelewa inatosha sana
 
bro hizo dawa za escitalopram ukinywa unakuwa unajisikiaje? na mimi nkazitafute. hazijakupa side effect yoyote?
 
bro hizo dawa za escitalopram ukinywa unakuwa unajisikiaje? na mimi nkazitafute
Mkuu hizo zinachelewesha absorption ya chemical flan kwenye ubongo inaitwa serotonin, hii serotonin ndo inahusika na mood ,ubongo ukikosa serotonin ya kutosha ndo matatizo kama hayo yanatokea ,sijui kiundan sana maan sio daktar lakini ukiitumia baada ya muda utahisi tofauti, confidence yako itapanda na hofu itaisha utakua unachukulia mambo kawaida ,wakat mwingi e ina effect flani mbaya inakuondolea aibu unaweza adi kufanya mambo ya kijinga bila kuogopa( hii effect sio kwa kila mtu lakini). Kwa kifupi mkuu inaondoa hofu zisizo za kawaida.
 
Back
Top Bottom